Msimlaumu kocha Robetinho, hakuna kocha asiyependa kumpanga mchezaji mzuri, Ni maelekezo kutoka juu ya kuyatii bila shuruti

Robertinho ana chuki zawazi tu na Phiri, ukiwa na mchezaji kama Phiri ni lazima utafute mfumo ambao utamfaa mchezaji ili akupe mafanikio kwakua ni mchezaji bora...

Robertinho yeye mfumo wake ndio huohuo tu mmoja habadiliki, kuna mechi cheza na 442 Phiri anakua second striker Chama au Saidoo mmoja anapumzika.kuna mechi ingia na 433 hapo Phiri anasimama kwakua kuna utatu ni lazima kunakua na hatari.

Simba haina kocha na siku mambo yakianza kubackfire itakua hatari watu watachapana fimbo.

Simba imefeli tena kwenye usajili wachezaji hawana mibadala sahihi hasa kwenye beki na midfield ndio maana kung'ang'ania na hao hao tu kila siku mpaka wananoki,ukiongeza na uoga wake wa kubadili wachezaji ndio kabisa.

Kuna mido kasajiliwa Hamis abdala alichezaga kenya ni mido mzuri tu lakini hamtumii, anajua akimtumia akaonesha ubora atakua pressured na washabiki aendelee kumtumia.
 
Unaonekana ulikua ni vitu vizuri vya kuelezea lakini ushabiki umeweka mbele, inanifanya nikubaliane na maneno ya Manara kwamba Yanga ni wawili tu, babaake mzee Sunday na Kikwete basi!!!!
 
"MASHABIKI YA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE YANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE YANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Mambwa yanayoshangilia Pira GAMONDI, Pira burudani, ushindi wa kihalali sio wa kubebwa na marefa na makombe!! Rejea goli la halali la Singapore Big Stars waliloipiga Simba na kukataliwa!
 
Unaonekana ulikua ni vitu vizuri vya kuelezea lakini ushabiki umeweka mbele, inanifanya nikubaliane na maneno ya Manara kwamba Yanga ni wawili tu, babaake mzee Sunday na Kikwete basi!!!!
Uko sahihi! Wenye akili Yanga wawili tu!

Ukisoma my comments kishabiki hutaelewa nilichoandika ila ukichambua vizuri ukaweka ushabiki pembeni utapata kitu angalau kimoja mf Simba Ina makelele mengi ila Haina kombe lolote misimu miwili na inacheza potelea mbali bila fomesheni Kila mtu kivyake magoli ya kulazimisha Kwa tabu , mengine ya kupewa na marefa , hapo ushabiki hamna

Marefa wanaua spirit ya timu ndogo zinapocheza na Simba Kwa kuwaonea kwa kuwapa kadi za uonevu na kuwanyima faulo na magoli Yao na kuwapa Simba penati za mchongo, rejea kipyenga Cha mwisho Othman Kazi akichambua madudu ya marefa wetu wasioitwa nje kuchezesha, hapo ushabiki hamna!!

Yule kolo Mkuu , Mr Karai anataka Simba ibebe kombe la ligi msimu huu Kwa lazima na Yanga tushamshtukia tutaua plan yake Kwa kuikanda Simba ndani nje point 6 zote zetu hapo ushabiki hamna!!
 
Uongooo,huo ni uongooooooo
 
Hawajui chochote hao,muwe mnawasamehe tu..tatizo wanajiona wanajua sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…