Kumbuka pia baadhi ya hayo Majembe yenyewe yalikuwa CCM kabla ya kuwa CDM hivyo Majembe yamerudi Nyumbani.kilichojichojitokeza ccm imechoka, kazi iliyobaki ni kuiba majembe kutoka upinzani tena Chadema. Bravo CDM kuzalisha majembe mengi yote yamefunika ccm.
Ni uchaguzi wa vyama vingi huru au uchaguzi wa vyama vingi geresha hakuna uhuru na uwazi?Sasa hapo ndio cjui mana tangu uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi wao wanalalamika kuibiwa kura tuu.
Sawa msishiriki bcNi uchaguzi wa vyama vingi huru au uchaguzi wa vyama vingi geresha hakuna uhuru na uwazi?
Yuko wapi upendo peneza amebaki kama mboga tu pale LUMUMBA Hana impact tena wa Hana please yoyote ni msimu wa msigwa Kama ilivyo tu Kule jangwani wanamfulahia chama utazani sio chama yule wa siku zoteKuna baadhi ya watu wanashangaa ukengeufu wa Msigwa. Wengine wanahoji kama ana utimamu wa akili ama kawehuka.
Lakini lazima tukubaliane kuwa sote kama watanzania tunao ujinga wa kihalaiki.
Ujinga wetu mkubwa ni kuwategemea sana wanasiasa kusimamia maslahi yetu bila sisi kuwasimamia wao.
Matokeo yake ni wanasiasa ndiyo wanapanga watupe nini badala ya sisi kuwataka watupe tunachotaka.
Ndani ya vyama vyote vya siasa kujiunga na chama ni hiyari kama ilivyo kutoka.
Lakini hizo zinazoitwa Kamati Kuu huwa zinajiamulia mambo kuhusu vyama vyao bila ya kuwashirikisha wanachama wao na milango ya kuhoji kwa wanachama wa kawaida ama imefungwa au iko mbali sana kufikiwa.
Sasa Msigwa amekuwa kama samaki aliyevuliwa na Kamati Kuu ya CCM.
Kamati Kuu ya CCM Sasa ndiyo inayoamua imtumieje Msigwa dhidi ya CHADEMA na wala si wanachama wa kawaida.
Kama kwenye "makubaliano" yao Msigwa atapewa nafasi fulani basi hakuna mwana CCM anayeweza kuzuia au kukataa.
Kwa ivo mvuvi ndiyo huamua kama samaki auzwe au aliwe supu.
Weye ni miongoni mwa mwandamizi wa chadema. Na kwamba ukiongea unasikilizwa. Lkn andiko lako laonyesha jinsi ulivyakata tamaa. Nadhani kwasasa unasubiri kauli ya Lissu ili uendelee na siasa ndani ya chadema au kutumikia chama kingine ukimsubiri mvuviKuna baadhi ya watu wanashangaa ukengeufu wa Msigwa. Wengine wanahoji kama ana utimamu wa akili ama kawehuka.
Lakini lazima tukubaliane kuwa sote kama watanzania tunao ujinga wa kihalaiki.
Ujinga wetu mkubwa ni kuwategemea sana wanasiasa kusimamia maslahi yetu bila sisi kuwasimamia wao.
Matokeo yake ni wanasiasa ndiyo wanapanga watupe nini badala ya sisi kuwataka watupe tunachotaka.
Ndani ya vyama vyote vya siasa kujiunga na chama ni hiyari kama ilivyo kutoka.
Lakini hizo zinazoitwa Kamati Kuu huwa zinajiamulia mambo kuhusu vyama vyao bila ya kuwashirikisha wanachama wao na milango ya kuhoji kwa wanachama wa kawaida ama imefungwa au iko mbali sana kufikiwa.
Sasa Msigwa amekuwa kama samaki aliyevuliwa na Kamati Kuu ya CCM.
Kamati Kuu ya CCM Sasa ndiyo inayoamua imtumieje Msigwa dhidi ya CHADEMA na wala si wanachama wa kawaida.
Kama kwenye "makubaliano" yao Msigwa atapewa nafasi fulani basi hakuna mwana CCM anayeweza kuzuia au kukataa.
Kwa ivo mvuvi ndiyo huamua kama samaki auzwe au aliwe supu.
Hakuna uchaguzi wowote mkuu uliofanyika 1994Hata historia ya siasa za nchi hii huijui. Uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi ulifanyika mwaka 1994.
Onesha ni wapi CHADEMA ililalamika kuhusu uchaguzi huo!?
Asante kwa ufafanuziAkili yako ilipokupeleka sasa😏🤮!
I meant anywhere anytime!
Kwenye gari ,Sebuleni, bafuni jikoni etc
Cc Smart911
Anachohitaji ni posho ili maisha yaende sasa ili kujustufy posho lazima kazi iwepo na kazi inayoweza kuhahalisha apewe poshi bila wana CCM kuhoji sana ni kazi ya kuisema CHADEMA ; nje ya CHASEMA atasema nini. Kumbuka siasa ni ajira hapa bongo.Na yeye mwenyewe ameshasema kuwa apewe fungu la fedha ili atembee nchi nzima kuichafua Chadema hadi ikifika 2025 kila mtu aichukie Chadema. Ameamua kuwa mzee wa kazi chafu.