Hiko ndiko ninacho kiona.Hawa jamaa zetu wana issue ya mfumo wa timu yao.
Wanajaza viungo wengi na ukiwathibiti hapo hawana plan B. Strike Force waliyonayo haina faida kwa mfumo wao. Sielewi kama ni matakwa ya kocha au akina Makofia. Hata traditional strikers wanaishia kuwa viungo tu.
Watapata sare nyingi sana msimu huu
Naziona sare nyingiSafu ya ushambuliaji simba haiwezi cheza kama timu haki ya Nani
Na ushindi wa simba itakuwa mwembamba kama siyo sare
Ikitokea simba kafunga mengi ujue safu ya ulinzi pinzani ilikuwa mbovu kupindukia
Na magoli mengi ya simba yatakuwa ya beki au midfielder na siyo safu ya ushambuluaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata na wao hawakuwa na akina Tambwe na Chirwa. Lakini bado hukujibu swala langu, nitajijibu mwenyewe.Jana tulikua tunatest mitambo ndio maana akina Juko, Mkude, Ndemla, Boko, walikaa benchi. Yanga ndio waliokua na kibarua kigumu cha kuwathibishia mashabiki wao kua sio wanyonge kwa simba.
Hizo stats huwa tunaiga tu toka kwenye TVs za wazungu bila kuwa na depth understanding. Shooting off target akiwa wapi na kwa vipi. Naweza kushoot on target lakini mpira ukawa unaenda 1km per hour (shoot lililopoa kabisa) lakini computer ikasema shoot on target, hiyo ni sawa na shoot off target.
Unamaanisha safu ya kuvuna magoli mengi ni hii ya akina Bocco na mavugo.
kwa takwimu za haraka haraka za mavugo jana ni:
Total Shoots 6
Shoots Off target - 6
Shoots On target - 0
Total Headers 3
Headers Off target - 3
Headers On target - 0
Huyu ndio focal point ya safu yenu ya ushambulizi.
Onyo: Sipo tayari kuzungumza kishabiki, ushabiki peleka klabuni kwako.Mchezaji yeyote akitoka Yanga kuja Simba lazima awe na "EFFECT"
jamaa kaja kakwapua Jezi namba 8 ya babu yenu Kazimoto, Kakwapua nafasi ya MKUDE. and you still lament ati NIYONZIMA ni wakawaida.
Ina maana wewe unajua zaidi ya Mayanja & Omog?
Kuna mawili, inawezekana mpira wa jana hukuuangalia au mpira hujui, Niyonzima hakucheza namba ya MKUDE jana (holding midfield). In fact Mkude na Niyonzima ni the best partnership kwa anayejua football. Ningekuwa mimi ningewapartner hao wawili halafu ungeona pale katikati shughuli yake.
HAHAHAHAHAHAHAHAHA We jamaa wewe! Eti hii leo MKUDE amuweke Benchi Tshishimbi. Acheni utani basi.
Kama mwalimu wako ameona MKUDE hafai hata kuanza dhidi ya NIYONZIMA sidhani kama hata angeweza kuanza dhidi ya play maker Kamusoko ambaye alikuwa akimuweka benchi NIYONZIMA.
Kwa watu wanaojua mpira wanaelewa soka na wachezaji ni kitu gani....kwenye timu yeyote yenye wachezaji wapya wengi ,cha msingi ni kuwapa muda mpaka wazoeane..... wakizoeana nowthen you can commentTukiacha zile bao 5 tulizowafunga Gulioni FC (wauza mitumba wa kipemba) bado kikosi hakijaonyesha uthamani wa Bilioni 1.3.
tangu mechi za kirafiki mpaka leo jioni tarehe 23/08/2017 umecheza zaidi ya mechi rasmi 5 ukiwa umefunga magoli 3 tu. Tukizingatia ameongezeka Okwi, Bocco and Co.
Au tuseme kikosi kilichopita kilikuwa bora sana. maana halisi ya Bilioni 1.3 ni kuongeza idadi ya Mabao, na hii ni kutokana na kushindwa kwa mabao tu msimu uliopita.
(Najua wengi mtasema kuwa Bilioni 1.3 ni kwa ajili ya CAF Confederation Cup). Si kweli.
Hivi Bilioni 1.3 wangepata upande wa pili si wangekuwa wanapasia nyavu mara mbili ya msimu ulio pita? Mimi nasema nyota njema huonekana Asubuhi, la msimu uliopita litajirudia tu.
i think mwalimu hajaliona hili.....Kuna mawili, inawezekana mpira wa jana hukuuangalia au mpira hujui, Niyonzima hakucheza namba ya MKUDE jana (holding midfield). In fact Mkude na Niyonzima the best partnership kwa anayejua football. Ningekuwa mimi ningewapartner hao wawili halafu ungeona pale katikati shughuli yake.
Kwenye Simba day, kipindi cha kwanza kilicheza kikosi kama hiki kilichocheza na Yanga jana kipindi cha kwanza, na walistruggle sana kwenye midfield, second half akaingia Mkude, Niyonzima, Mghana na Ndemla...Simba walibadilika sana. Sasa ile chemistry ikicheza mechi za kutosha kunakuwa hakuna sababu ya kukosa magoli.
Tulianzia mapinduz cup mkakaa, tukakutana mzunguko wa pili wa ligi mkakaa na leo tena ni mara ya tatu mfululizomechi 1 - Simba 1 vs 1 Yanga
mechi 2 - Simba 2 vs 1 Yanga
mechi 3 - Simba 0 vs 0 Yanga
hebu nitajie Mechi 3 ambazo unazozizungumzia ambazo zote Yanga amekalishwa na Simba?
Precisely.....Mimi ni mpenzi wa Simba ila ni mwanasports sio shabiki. Usajili wa Simba sio mbaya na wala safu ya ushambuliaji sio mbaya. Simba inaumizwa na uwezo wa makocha wetu kujua ni wachezaji gani wanatakiwa kupartner ili kuleta ushindi mkubwa.
Jibu swali? ni mezchi zipi 3 ambazo umemgalagaza Yanga? weka matokeo pia.Tulianzia mapinduz cup mkakaa, tukakutana mzunguko wa pili wa ligi mkakaa na leo tena ni mara ya tatu mfululizo
Sent using Jamii Forums mobile app
yule hakuna kitu...hakuna mchezaji pale.....utaniambiaJIBU: PAPPY KABAMBA TSHISHIMBI a.k.a TSHISHI BABY
Simba wafanye maamuzi haraka,...wAACHANE NA OMOG....AZAM walimwacha OMOG wakati timu iko kwenye peak ..walishaona.OMOG anaweza sana kucheza defensive game...lakini sio game la kushambulia na kufunga magoli mengi
Kitendo cha kuendelea kumwacha kitaharibu zaidi timu....Mwishoni wachezaji wataanza kuchukiana.
Kabla hawajachelewa...OMOG aondoke..Wampe timu Mayanja
Ndio ubaya wa kujifanya mjuaji sana. Kibaya zaidi unajifanya unajua zaidi ya jopo zima la uongozi wa Simba hata ukatoa ushauri Omog afukuzwe.yule hakuna kitu...hakuna mchezaji pale.....utaniambia
Ndio ubaya wa kujifanya mjuaji sana. Kibaya zaidi unajifanya unajua zaidi ya jopo zima la uongozi wa Simba hata ukatoa ushauri Omog afukuzwe.
Leo unatushauri kuwa TSHISHI BABY yuko sawa na Juma Makapu.
Nimekwambia Hiviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii......Huyo shishi Baby hakuna kitu..Mark my words..Huyo na yule mkata umeme..mkata umeme yuko bora zaidi
Na OMOG tunamfukuza....una jipya lipi jombaa?