Kuna dalili kubwa Simba ikamaliza nafasi ya tatu msimu huu kama SI kuwa wa mwisho kwenye ligi,Kwa mpira uliopigwa na Asec ni wazi kuwa lazima Simba atapoteza match yake ya away hivyo, kundi limezidi kuwa zito baada ya Wydad kugongwa na galaxy.
Vile vile Kwa upande wa Young African kama hawatoshinda mechi ijayo na wao wenyewe wataishia kumaliza nafasi ya tatu au ya nne kwenye kundi.
Vile vile Kwa upande wa Young African kama hawatoshinda mechi ijayo na wao wenyewe wataishia kumaliza nafasi ya tatu au ya nne kwenye kundi.