Msimu huu Mayele bado anakazi kubwa ya kufanya

Msimu huu Mayele bado anakazi kubwa ya kufanya

Unafikiri Kwa nini Luc aliwaita mnabweka kama mambwa na manyani? Bora Fans wa Simba huwa wanaishia kuwasema Tu wachezaji wao. Nyinyi huwa mnawarushia makopo wachezaji wenu walioflop. Akina Sarpong walipata shida Sana sijui Wewe uto kumbukumbu unatunza Kwa kutumia nini.
Na pia kung'oa viti baada ya kufungwa!
 
Back
Top Bottom