Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Na pia kung'oa viti baada ya kufungwa!Unafikiri Kwa nini Luc aliwaita mnabweka kama mambwa na manyani? Bora Fans wa Simba huwa wanaishia kuwasema Tu wachezaji wao. Nyinyi huwa mnawarushia makopo wachezaji wenu walioflop. Akina Sarpong walipata shida Sana sijui Wewe uto kumbukumbu unatunza Kwa kutumia nini.