ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Wiki mbili zilizopita simba walilitangaza basi lao jipya mbali ya yale mawili waliyopewa kwa wakati mmoja wao na ndg zao yanga jana tena nimesikia kuwa wametangaza kupokea mabasi mengine matatu!
Jamani tujuzane endapo hawa wakubwa wanataka kuja kutupokonya route zetu huku songea-masasi.
Mbeya- Arusha via Dodoma.
Jamani tujuzane endapo hawa wakubwa wanataka kuja kutupokonya route zetu huku songea-masasi.
Mbeya- Arusha via Dodoma.