Unatimiaje wakati bado mnacheza ndondo la mchangani!!!'Ipo siku kila mtu atashabikia Simba' . Je unabii unatimia?
Kama kawaida msimu wa ligi unapoelekea kwisha Simba inapokutana na Azam ,inakuwa imepoteza dira, na mbio za ubingwa zinabakia kwa timu kubwa TZ, Yanga na Azam.
Msimu huu tena tutaishangilia marehemu simba..
'Ipo siku kila mtu atashabikia Simba' . Je unabii unatimia?
Ninyi mikia mkipata nafasi ya pili mtatutia aibu na lile litimu lenu lenye wachezaji kama watoto wa primary itapambana na timu gan ya nchi za watu walau mkabahatika hata kupata sare!!? Au mnafiki kule kuna mashindano ya mapinduzi cup au mtani mpini!!!!
Ninyi bakin hapa hapa ili muwapelekee waume zenu mabegi wanapokwenda kuiwakilisha nchi.
Tena nasikia pale coast hana chake.Jamani mimi natafuta clip/alichokisema muongea hovyo Mzaramo wa Msanga,Julio,baada ya matokeo ya Timu ya Wananchi na Coastal Union.