Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba ilivyo na watu mapoyoyo hivo usishangae wakawaachia azam kuwadungua tena mwaka huu ili yanga wasichukue ubingwa.Msahau mbeleko yetu
Simba ilivyo na watu mapoyoyo hivo usishangae wakawaachia azam kuwadungua tena mwaka huu ili yanga wasichukue ubingwa.
Simba ilivyo na watu mapoyoyo hivo usishangae wakawaachia azam kuwadungua tena mwaka huu ili yanga wasichukue ubingwa.
Msahau mbeleko yetu
Simba amueni wenyewe mfungwe msifungwe sisi tutamcharaza huyo Azam hivyo ubingwa wetu hautegemei mbereko ya Simba.
Simba ilivyo na watu mapoyoyo hivo usishangae wakawaachia azam kuwadungua tena mwaka huu ili yanga wasichukue ubingwa.
Simba ilivyo na watu mapoyoyo hivo usishangae wakawaachia azam kuwadungua tena mwaka huu ili yanga wasichukue ubingwa.
Ila acha tu mikia ipapachuliwe itakavyo ili hata nafasi ya pili waisikie redioni tu manake watatutia aibu hawa wachezaji wao hawajui kupanda ndege wamezoea boat kuendea zanzibar.......Vyovyote watakavyo fanya kombe lazima lidondoke jangwani.
Ila acha tu mikia ipapachuliwe itakavyo ili hata nafasi ya pili waisikie redioni tu manake watatutia aibu hawa wachezaji wao hawajui kupanda ndege wamezoea boat kuendea zanzibar.......
Huwa nashangazwa sana na mashabiki wa yanga,simba akifungwa na azam kwenu imekuwa nongwa?mbina tumefungwa na mgambo,stand mmechekelea do u think azam I deserve kuifunga simba kweli?kama inatokea kufungwa simple cos watakuwa wamejiandaa vema kuliko sisi,tuonesheni mfano kwanza mfungeni azam alafu nasi mtatuona cos tunahihitaji nafasi ya pil kama nyinyi mnavyouhitaji ubingwaSimba ilivyo na watu mapoyoyo hivo usishangae wakawaachia azam kuwadungua tena mwaka huu ili yanga wasichukue ubingwa.
Ninyi mikia mkipata nafasi ya pili mtatutia aibu na lile litimu lenu lenye wachezaji kama watoto wa primary itapambana na timu gan ya nchi za watu walau mkabahatika hata kupata sare!!? Au mnafiki kule kuna mashindano ya mapinduzi cup au mtani mpini!!!!Huwa nashangazwa sana na mashabiki wa yanga,simba akifungwa na azam kwenu imekuwa nongwa?mbina tumefungwa na mgambo,stand mmechekelea do u think azam I deserve kuifunga simba kweli?kama inatokea kufungwa simple cos watakuwa wamejiandaa vema kuliko sisi,tuonesheni mfano kwanza mfungeni azam alafu nasi mtatuona cos tunahihitaji nafasi ya pil kama nyinyi mnavyouhitaji ubingwa
Yanga bhana sasa kipi ni kinafaa kwenu na simba yetu?so hamtaki hata tupate nafasibya pil sasa povu la nn acheni basi tufungwe na azam kama hz ndizo fikra zenu so msituhoji tutakapofungwa na azam,cos hamjielewi mnataka nn kutoka kwetu,Ninyi mikia mkipata nafasi ya pili mtatutia aibu na lile litimu lenu lenye wachezaji kama watoto wa primary itapambana na timu gan ya nchi za watu walau mkabahatika hata kupata sare!!? Au mnafiki kule kuna mashindano ya mapinduzi cup au mtani mpini!!!!
Ninyi bakin hapa hapa ili muwapelekee waume zenu mabegi wanapokwenda kuiwakilisha nchi.
Ila acha tu mikia ipapachuliwe itakavyo ili hata nafasi ya pili waisikie redioni tu manake watatutia aibu hawa wachezaji wao hawajui kupanda ndege wamezoea boat kuendea zanzibar.......
Kama kawaida msimu wa ligi unapoelekea kwisha Simba inapokutana na Azam ,inakuwa imepoteza dira, na mbio za ubingwa zinabakia kwa timu kubwa TZ, Yanga na Azam.
Msimu huu tena tutaishangilia marehemu simba..