Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 802
- 919
TV na radio je,??Hapo ni kama unaiita.
Simu zinawasiliana kwa mionzi ambayo ni rahisi zaidi na umeme wa radi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TV na radio je,??Hapo ni kama unaiita.
Simu zinawasiliana kwa mionzi ambayo ni rahisi zaidi na umeme wa radi.
Tafiti Zinaendekea kwa wenzetu kuvuna hiyo Nishati.Inabidi wanasayansi wabuni kifaa Cha kuvuna umeme wa radi maana itapendeza sana tutavuna megawatt million ndani ya sekunde na tutakua na umeme wa kuhudumia Dunia nzima au mnasemaje wajumbe?
😁😁😁🔥
Mkuu muingiliano upo.TV na radio je,??
nimesoma kujiridhisha inaonekana ni salama, so nafuta kauli ' japo naendelea kujifunza zaidi kupata uhakikaMkuu hebu fafanua uhatari uliopo Kati ya radi na simu,ili tuwe makini zaidi.
Kama Shinyanga kuna radio sijui Mkoa wa Njombe kutakuwa na nini?Niliwahi kwenda shinyanga, aisee kule radi inapiga utadhani mnaugomvi nayo!
Sio kama huku Dar cha mtoto!
Kwenye picha tunaona nguzo si ajabu za fence.Sasa,iilipiga Kama mstari au,yaani sijaelewa kabisa hapa
Hii sio sawa mkuu hata kidogo. Lighting can't be attracted by small metal like structure kama cell phones etc. Yenyewe inakuwa attracted na kustrike tall objects kama wires, fances and of that nature.Hapo ni kama unaiita.
Simu zinawasiliana kwa mionzi ambayo ni rahisi zaidi na umeme wa radi.
Daaah! Eti ubeberuni.Radi zinazopiga ubeberuni zingekuwa zinapiga bongo tungeshapoteana...........nadhani beberu wamefunga teknolojia maridhawa ya kuzuia ajali za radi, maana si kwa radi zile........
Radi inaogopa ndege
Watanzania wengi wamekuwa na uhusishaji hasi kati ya radi na matumizi ya simu za mikononi. Wengi wanaamini radi ina nafasi kubwa ya kuishambulia simu na mtu anayeitumia, lakini watu wajue kuwa radi haina sifa ya kushambulia vitu vidogo vidogo bali vitu virefu ambavyo vitafanya ile charge iweze kusafiri kwa kasi kuelekea ardhini.nimesoma kujiridhisha inaonekana ni salama, so nafuta kauli ' japo naendelea kujifunza zaidi kupata uhakika
Hii radi kiboko duh! Kwanza inawapanga mstari mmoja halafu inafumua na inamaliza kwa kuwalaza aina moja vile vile duuh!?
Then ikawajeInaogopaje hukuwahi sikia radi imeipiga ndege huko zimbabwe
Huwa ni nadra sana ndege kupigwa radi kwa sababu zimefungiwa teknolojia ya kuzuia radi.........Inaogopaje hukuwahi sikia radi imeipiga ndege huko zimbabwe
Anafanya MZAHA huyo, usimchukulie serious Mkuu.Inaogopaje hukuwahi sikia radi imeipiga ndege huko zimbabwe
Hakuna kitu kama hicho.huku kwetu kigoma huwa tunapishana nazo njiani zikiwa zinaenda ziliko tumwa
Hata Ngara radi ni tishioNiliwahi kwenda shinyanga, aisee kule radi inapiga utadhani mnaugomvi nayo!
Sio kama huku Dar cha mtoto!