kacnia
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 4,024
- 15,796
kuna siku radi ilimpiga msichana mmoja ambaye tulikua tumetoka nae shule, jina nalihifadhi na tulikua pamoja ikamchapa peke yake, radi kama hiyo unadhani ni ya kawaidaHakuna kitu kama hicho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna siku radi ilimpiga msichana mmoja ambaye tulikua tumetoka nae shule, jina nalihifadhi na tulikua pamoja ikamchapa peke yake, radi kama hiyo unadhani ni ya kawaidaHakuna kitu kama hicho.
nimetoka kupishana nayo dkk kadhaa hapahuku kwetu kigoma huwa tunapishana nazo njiani zikiwa zinaenda ziliko tumwa
Wataalamu wasugue vichwa tuweze vuna huo umeme..Mkuu radi haichagui.
Radi ni moto mkali sana , unaweza fika 300million Volts, unaoua mara moja.
View attachment 2119308
Kuna vizuizi vya kuzuia radi,Na kama unaishi gorofani?
Naogopa radi ule kwanga sipendi kuuona.
Sio kweli mkuu. Radi inapiga vizuri ndege na hata gari sema haileti madhara kwa kuwa hazigusi chini moja moja hivyo mfumo wa umeme unakuwa haujakamilika.Huwa ni nadra sana ndege kupigwa radi kwa sababu zimefungiwa teknolojia ya kuzuia radi.........
iko na ratiba zakenimetoka kupishana nayo dkk kadhaa hapa
Unadanganya wenzako wewe,utasababisha watu wapoteze maisha kizembe,tafuta baadhi ya shuhuda zenye kuelezea waliokoswakoswa na radi kisa simu;Watanzania wengi wamekuwa na uhusishaji hasi kati ya radi na matumizi ya simu za mikononi. Wengi wanaamini radi ina nafasi kubwa ya kuishambulia simu na mtu anayeitumia, lakini watu wajue kuwa radi haina sifa ya kushambulia vitu vidogo vidogo bali vitu virefu ambavyo vitafanya ile charge iweze kusafiri kwa kasi kuelekea ardhini.
So watambue kuwa ni salama kabisa kutumia simu hata kipindi cha mvua iliyoambatana na radi.
ndioiko na ratiba zake
Sikatai ulichokisema ila nakuomba ujiongeze kimaarifa. Ila jua kuwa umeme wa zaidi ya 600000V haukosi kosi kama unavyosema bali huunguza na kupasua kila kilichopo ndani ya 5M.Unadanganya wenzako wewe,utasababisha watu wapoteze maisha kizembe,tafuta baadhi ya shuhuda zenye kuelezea waliokoswakoswa na radi kisa simu;
hapo sio kufata simu bali mawimbi ya mawasiliano ya simu;
na ndio maana vifaa vingi vya mawimbi utaambiwa haifai kutumia kwenye radi;
The bynimesoma kujiridhisha inaonekana ni salama, so nafuta kauli ' japo naendelea kujifunza zaidi kupata uhakika
Kwanini kondoo husumbuka sana kwenye radi je kuna tafiti zozote zinaendelea kuhusu uhusiano wa radi na kichwa cha kondoo?Kama huna mahali pa kukimbilia heri kukaa chini kabisa na kutosimama, huu kichwa mtu umeinamisha
Hv unajua umeme wa radi ni level ya national gridSio Ng'ombe ni kondoo kiongozi. Thanks.
Ukisha uona mwanga ujue imeshapita hiyo radi.Na kama unaishi gorofani?
Naogopa radi ule kwanga sipendi kuuona.