JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Mnabishana kitu ambacho wote hamkijui. Hakuna mwenye details za jengo kuweza kufanya tathmini ya kweli ya gharama halisi ya ujenzi husika.Hivi anazungumzia Ikulu ya nchi, au anazungumzia kibandamaiti chake? Alitaka msingi wa Ikulu ujengwe kwa nondo za mil 20?
Ujinga mwingine hauna hata mdano!