Msinicheke jamani, nina miaka 45, kazi sina, mke sina, naishi nyumbani kwa wazazi ila sipendi

Msinicheke jamani, nina miaka 45, kazi sina, mke sina, naishi nyumbani kwa wazazi ila sipendi

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,219
Reaction score
4,608
Sina ajjra yoyote, nimepigika, hata mwanamke hawezi kunikubali kwani sina kitu.

Umri unaenda najiuliza ni wapi nilipokosea.
Nikipata kazi itadumu kwa miezi mitatu au minne, ikienda sana itadumu kwa miaka mitatu au minne.

Ndoa nilioa ikadumu miaka mitatu
Mali nikimiliki hazidumu.

Nimefilisika hadi nimerudi kwa wazee naombeni hekima.zenu ndugu zangu
 
Tafuta MTU ambaye unamwanini akupe code , MTU huyu awe hana maslahi na wewe yoyote .

Ila at your age ni vizuri ukaanza kujikagua ndani hasa katika mambo ya kiroho , then kisaikolojia .


Mara nyingi unaweza kuwa na tatizo maeneo hayo mawili Mind na Spiritual


Then age ya 45 sio tatizo au kubwa ikiwa umeanza kuona tatizo basi hilo tatizo linaitsha automatically with process.

Tunakuombea✊🏿
 
Wacha uoga..
Kaa kwanza akili itulie. Kwani wamekufukuza?
Mi kuna sista namfaham amezaa watoto wake 3 hapo hapo kwao na sasa hv mkubwa yuko chuo. Asubuhi anaamka anmsalimia babu, akimaliza maza anmsindikiza anaenda chuo bila stress.
After some time watakuzoea hawatakusema tena.
 
Umri unaenda najiuliza ni wapi nilipokosea.
Kama mpaka leo hujajua ni wapi ulipokosea au unapokosea basi ushauri utakao pewa hapa itakua ni kazi bure tu,
Huwezi kusolve matatizo bila kujua chanzo cha matatizo,ndio maana umekua unarudi kule kule tu kila leo,

Jitafakari ni wapi unakosea kisha chukua hatua,

Yangu ni hayo tu,
Kwenu wanangu wa Daslam mtoe ushauri zaidi kwa mwanetu.
 
Kama mpaka leo hujajua ni wapi ulipokosea au unapokosea basi ushauri utakao pewa hapa itakua ni kazi bure tu,
Huwezi kusolve matatizo bila kujua chanzo cha matatizo,ndio maana umekua unarudi kule kule tu kila leo,

Jitafakari ni wapi unakosea kisha chukua hatua,

Yangu ni hayo tu,
Kwenu kwa wanangu wa Daslam.
Asante sana M Sweden
 
Kama mpaka leo hujajua ni wapi ulipokosea au unapokosea basi ushauri utakao pewa hapa itakua ni kazi bure tu,
Huwezi kusolve matatizo bila kujua chanzo cha matatizo,ndio maana umekua unarudi kule kule tu kila leo,

Jitafakari ni wapi unakosea kisha chukua hatua,

Yangu ni hayo tu,
Kwenu wanangu wa Daslam mtoe ushauri zaidi kwa mwanetu.
Tumpe channel, ata ya kuuza matunda atatoboa, atakua ameharibu sana huko nyuma
 
Back
Top Bottom