Msinililie mimi bali jililieni ninyi nafsi zenu na watoto wenu

Msinililie mimi bali jililieni ninyi nafsi zenu na watoto wenu

kotapini

Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
92
Reaction score
158
Leo nakuja na aina nyingine ya mawazo kwa dhamira njema ya nchi yangu na taifa, hii siyo kwa ajili ya maslahi ya mtu mmoja mmoja ila kwa maslahi ya nchi

Hivi toka uhuru hakujawahi kutokea mjumbe, balozi wa nyumba kumi, mwenyekiti wa mtaa au mjumbe wa kamati ya ya ulinzi na usalama wa mtaa akafit kwenye nafasi fulani ya uongozi katika selikari ukiondoa hizi za kujitolea? Ambazo hazina posho yoyote?

Let me declare my interest mimi ni mwenyekiti wa mtaa na nina bachelor ya utawala toka chuo fulani hapa Tanzania na nimeshiriki mambo mengi ya kuendeleza nchi yetu, je sina vigezo?

Wakati bado tuna utawala huanzia chini, kura zote huanzia huku?

Mama ninakuomba kwa jicho la unyenyekevu hebu angalia huku pia, maisha ya kisiasa hutegemea mambo mengi, ni muhimu pia wakati tunadeal na time factor and fashion pia tukaangalia hili

With respect to all tanzania leaders maana tawala zote hutoka kwa Mungu basi pia kwa heshima tunashauri
 
Kwa hiyo unataka uteuzi? Mimi naona bora ukapambana ili upate mtaji, then ujiajiri. No way out.

Kinyume na hapo, basi utachelewa sana. Maana ccm ina wenyewe! Na wewe kwa bahati mbaya, siyo mmoja wao.
 
Balozi wa nyumba kumi na mwenyekiti wa serikali ya mtaa ni nafasi za kujitolea?
 
Mwenyekiti wa mtaa,/ wajumbe wa mtaa.
Wanapokula kwa urefu wa kamba..
- barua za utambulisho.
-10% ya mauziano ya vitu mbali mbali
-- Kodi ndogo ndogo za biashara.( Vigenge/ gulio/ mama lishe/ maduka nk.

Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Urefu upi mzee, tuwe realistic then nyie ndio mlitafsiri kauli ya RAIS WA JAMHURI WA MUUNGANO kwa namna mnavyoamua
Barua za utambulisho ipo kwenye sheria kuwa ni lazima mtu ailipie

Mwenyekiti hana outonomous power so kushiriki katika mauziano ni legal problem
Vigenge/gulio/mama lishe/maduka hayo hujui kiwa pesa za kadi zinakusanywa na nani?

Mm nilikuwa naiambia serikali yetu kuwa wapo watu wanaweza kuwagrooom from bottom na kumbuka mtaji wa mwanasiasa ni watu na watu ndio sisi, mwenyekiti hana ragusa ya kucharge chochote maana anatoa huduma, I am speaking from my experience cz huu ni mwaka wangu was najua na daraja rahisi kwa mwanasiasa ni huku, cz tuna watu na wapo kukipambania chama chetu

Plz madam PRESIDENT fanya analysis yako katika milia yote TANZANIA utapata cream iliyojitoa kwa ajili ya nchi
Uzalendo wa kweli unaanzia huku
 
Kwa hiyo unataka uteuzi? Mimi naona bora ukapambana ili upate mtaji, then ujiajiri. No way out.

Kinyume na hapo, basi utachelewa sana. Maana ccm ina wenyewe! Na wewe kwa bahati mbaya, siyo mmoja wao.
Kuna sehemu ya uteuzi hapo? Mm nazungumzia general law, kwani mm ni nani hadi nipate uteuzi? Nimeahauri tu system itupie lia jicho huku maana wapo wengi pia wanaweza kuaminika na kufanya makubwa
 
Unachokifanya kifanye kwa, utii na kufuata taraibu, kifanye ubora wa hali ya juu bila kutaka ukubwa, na kifanye kwa uaminifu ukizingatia uzalendo utafika unapopatamani bila shurba
 
Back
Top Bottom