jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Wanajamvi,
Kila mara nikiweka picha yangu halisi, member wengi huwa wananishauri nirudishe ya Tupac, sasa nimeona niachane na utumwa wa kukaa kivulini,nimeweka avatar ya picha yangu halisi! God is great! Kama kuna wasioipenda, wale ambao wanafuatilia maoni yangu na kuyapenda, na wanataka nirudishe ile ya Tupac Shakur, tujulishane🙏🏾😍
Kila mara nikiweka picha yangu halisi, member wengi huwa wananishauri nirudishe ya Tupac, sasa nimeona niachane na utumwa wa kukaa kivulini,nimeweka avatar ya picha yangu halisi! God is great! Kama kuna wasioipenda, wale ambao wanafuatilia maoni yangu na kuyapenda, na wanataka nirudishe ile ya Tupac Shakur, tujulishane🙏🏾😍