Hii ni October 2014.mm jamaa yangu kanunua gari Mark II Oktoba 2015 JK anamkabidhi JPM
namba alipewa DAB nyie mmekimbiza mpaka DGS?
Kumkomoa Muuzaji unaenda na mshikaji wako kabisa ambaye Wala sio fundi akikonyezwa atakwambia,siku ya Pili unaenda na mshikaji mwingine,siku ya tatu na mshikaji mwingine siku ya nne unaenda na fundi.Kuna kitendo niliwah kuona kwa macho mteja anafanyiwa na mafundi...
Nasema hivii....fundi wa kibongo si ndugu yako....kua naye makini...
Ukipenda namba mpya inabidi ununue direct from JapanNi kweli ila wanawake wanapendda namba mpya
Inategemea tu na utunzaji wa mtu, kuna jamaa ana crest yenye namba A, lakini alivyoitunza kama imetoka japan jana, na yupo dar, watu wengi huwa wana ishangaa sana!!Dar gari nyingi za zamani zimeshaliwa na chumvi huku chini. Sishauri saaana kununua namba A mazingira ya Dar, labda mikoa mingine isiyo na chumvi.
Hapo kama nimekuelewa hivi kwa hii technique yakoKumkomoa Muuzaji unaenda na mshikaji wako kabisa ambaye Wala sio fundi akikonyezwa atakwambia,siku ya Pili unaenda na mshikaji mwingine,siku ya tatu na mshikaji mwingine siku ya nne unaenda na fundi.
hyo gari sku ya kwanza mpaka ya nne inakungoja ww tu??? na je ww huna kazi mpaka uwe na muda wa kwenda na kurudi daily?? mana sku nne tayar week ishakata hapo!!Kumkomoa Muuzaji unaenda na mshikaji wako kabisa ambaye Wala sio fundi akikonyezwa atakwambia,siku ya Pili unaenda na mshikaji mwingine,siku ya tatu na mshikaji mwingine siku ya nne unaenda na fundi.
Hivi kwa sasa namba za magari zimefikia D?? ipi?
Maana sisi wa kudandia boda boda na daladala hatujui kinachoendelea.
Lakini ipo siku tu.
kma BE forward wanakuuzia gari bovu namba mpya, waiiUkipenda namba mpya inabidi ununue direct from Japan
Namba gani unayozungumzia ?Gari za beforward ziko numbered how??kma BE forward wanakuuzia gari bovu namba mpya, waii
yaani mtu anakwambia natafuta Clugger lakini NAMBA D, huyo mtu ananunua namba. Unampatia Clugger namba D ambayo tangi iingie Tanzania inabeba magazeti usiku saa nne kutoka Dar Kwenda Mbeya.Namba gani unayozungumzia ?Gari za beforward ziko numbered how??
yaani mtu anakwambia natafuta Clugger lakini NAMBA D, huyo mtu ananunua namba. Unampatia Clugger namba D ambayo tangi iingie Tanzania inabeba magazeti usiku saa nne kutoka Dar Kwenda Mbeya...
Serikali ndiyo inaaagiza magari Japan kwa kuptia mawakala, wewe kaja-*** hugusi hizo. Lakini nikutoe tongotongo, toyota Tanzania wanaingiza gari "zero km"inawekwa namba, na inakaa yard zaidi ya miezi 6, kwahiyom inakuwa namba ya zamani lakini gari mpya, hata Yard za mtaani ndivyo.Well, hii ni kwa watu wanaonunua magari third hand (and more??) kutoka kwa watu hapa nchini, ila kama unaagiza from Japan it doesnt apply.
Serikali ndiyo inaaagiza magari Japan kwa kuptia mawakala, wewe kaja-*** hugusi hizo. Lakini nikutoe tongotongo, toyota Tanzania wanaingiza gari "zero km"inawekwa namba, na inakaa yard zaidi ya miezi 6, kwahiyom inakuwa namba ya zamani lakini gari mpya, hata Yard za mtaani ndivyo...
Ni kweli mwezi wa tisa ilikuwa DEL
DAA imeanza kabla ya 2015mm jamaa yangu kanunua gari Mark II Oktoba 2015 JK anamkabidhi JPM
namba alipewa DAB nyie mmekimbiza mpaka DGS?
Yes ni kweliHii ni October 2014.
Mimi DFZ nina uhakika nayo, nipo na kadi naiangalia hapa,
Pia DAA Ilianza September 2014,
Gari huwa zinachukua hata wiki had mwezi mpaka ziuzwe haziuziki kirahisi mkuuhyo gari sku ya kwanza mpaka ya nne inakungoja ww tu??? na je ww huna kazi mpaka uwe na muda wa kwenda na kurudi daily?? mana sku nne tayar week ishakata hapo!!
Moshi namba A na B zipo nyingi sana na zimenyooka mno.Uko sahihi mkuu,nilienda moshi nikawa nashangaa gari rav 4 # ATR kama imetoka Japan Jana,Dar factor nyingi zinachangia gar kukongoroka haraka
mm jamaa yangu kanunua gari Mark II Oktoba 2015 JK anamkabidhi JPM
namba alipewa DAB nyie mmekimbiza mpaka DGS?