Msinunue Namba za magari badala ya Gari lenyewe

Alijitibu mwenyewe, 🤣🤣🤣 hilo litakuwa funzo kwake, awache kusikiliza mafundi, ajisikilize mwenyewe
 
Mkuu chukua 4m niachie mimi hiyo
 
Dar gari nyingi za zamani zimeshaliwa na chumvi huku chini. Sishauri saaana kununua namba A mazingira ya Dar, labda mikoa mingine isiyo na chumvi.
Nielekeze hapo chumvi inamaliza nini kwenye vyombo vya moto kuna mtu aliwahi nambia watu wananunua bajaj za singida sana sababu body zake hazijaliwa na chumvi
 
Vipi namba zimefika DZZ? Au tumeshaingia EAA?
 
Ushauri mzuri sana! Halafu hakuna gari imara km namba B na C.
Umeshaambiwa nunua gari yenyewe na si namba, what i want to say ni kuwa zipo namba B au C ambazo mashine bado ipo mwake but zipo pia namba B, C na D ambazo ni Achokile Mwaimbaya.

Gari vile ilivyotumika not otherwise!!
 
Pia, kama unataka kununua gari second hand usinunue kwa m'bongo utaliwa nunua kwa wahindi/warabu Ni watunzaji wazuri wa magari.
 
Napenda kufahamu uzuri na uimara wa magari aina ya toyota carina ti
 
eti kanajiongeza speed kama kamefurahi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…