Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

Kamatika tu mzee baba ila akitaka umweke ndani mwambie akuonyeshe kaburi la baba wa mtoto wake kwanza, kisha ujue ni nini kilimuua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yupo hai apo ndo kimbembe japokuwa anamke ila kama akija mkoani mipango yake nikupasha kiporo apo ndo mtiti
 
Kuna mmoja huyo humwambii kitu yuko tayari kujiua moto ninao mpelekea hajawahi ona.Natembea na karatasi la nyloni kwenye begi maana tukikutana ni kumkojoza mpaka anahisi kuishiwa maji mwilini anasema hivi nilikuwa bado mshamba kwenye kunyanduana mpaka umri huu???? Mbona sijawahi ona hivi vitu!!!!
 
😄
Mkuu hyo karatasi la nylon lina nn?
 
Samahani lakini kama ntakukosea ila nina swali ... ulijuaje kama wengine hawakufikishi? Huo utafiti uliufanya kwa wanaume wa wapi? Na ni wangapi ....kama hutojali njo dm uone kama utarudi kwa huyo mtu wako walau kwa siku moja tu

Naona unataka kumla kimasihara.
 
Huwa wanapagawaa balaaaa
 
Duuh!! Huo mchepuko hatari sana
 
Nyie endeleeni kujibabadua humu mwenzenu anachukua maksi kwa wake zenu[emoji3][emoji3][emoji3]
Wacha tuu achukue maksi uzuri mie nilishajua kuwa mbususu ya mkeo yoyote anaweza igegeda kama mkeo kataka mwenyewe
 
Ni wanawake wachache Sana wanaweza kuhimili mwendo mrefu, Zaid zaidi utapigwa mateke uangukie kule upige chogo kwenye tiles ufie lodge[emoji4]
Kama match mbofu mbofu lazima upigwe teke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…