Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

Mume wangu ashanipiga matukio lakini ile kufikishwwa kileleni jamani ni adimu sijawahi pata popote. Kwa hiyo najikuta mwaka wa 5 huu.

Usiwaone watu wapo kwenye mahusihano mabaya mbele ya macho yenu unamshauri mtu tokaa hapo ila wapi kuna kitu tu hakuelezi. Vitu vyenyewe ndio kama hivyo jamani.

Wasalaam wana MMU
Uko sahihi, kuna mwanamke nilidate naye miaka kadhaa iliyopita, akawa ananiambia "Yaani kwa mambo unayonikosea, usingekuwa unajua kunifikisha ningeshakuacha siku nyingi."
 
kuna mwana mwingine nae anaambiwa ivo ivo kama wewe unavoambiwa.....[emoji23][emoji23][emoji23]

sio mambo ya kuamini sana .
utajua bana ajili ya androgens zako mwilini ndo maana tunaitwa vidume..km hutajua lolote basi ulistahili kuwa ke!....ukisika uanaume ndo hili la kujua yasiyojulikana
 
Zuchu yupo jf
 

Attachments

  • Screenshot_20220601-100809_Instagram.jpg
    Screenshot_20220601-100809_Instagram.jpg
    203.4 KB · Views: 22
Hakuna jambo lamsingi duniani kwa mwanamke kama kukojozwa atakukumbuka daima mkojozaji
 
Si bora we alikutishia.... me alienda kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], na alinikomoa Mbwa Yule.

Sitaki tena mademu wa kupalamia palamia...
Kumbe alikuwa na Ndugu yake mganga
Pole mkuu. Kumbe haya mambo yako? Nilikuwa siamini!
 
Kuna MTU kwao wanamwambiaga mm napenda hela aniache,
..
Yy ndo kafa kaoza kwangu..[emoji1787]
Na sura nyangu ya baba[emoji1787]
 
Back
Top Bottom