Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

Haya mapenzi hua hayaeleweki,watu wengi wananmcheka huyu mkulu lakini wengi tunayaishi haya maisha n vile hatupendi kusema ukweli tuu,lkn watu wengi mapenzi yanatuendesha,unakuta mwanamke anakasoro zote,lkn ile mkikutana anavyokuhandle + kunyumbulika kwake unajikuta unasema simuachi,wengine watasema umelogwa lkn mara nyingi sio kweli.
 
@deep pond kamba nyingi sana
 
Kama nawaona kina dada humu walivyotulia na kuanza kujitathimini, wengine wanatamani wawaulize wenzi wao 'baby, vipi kuna kataulo unakahisi humo ndani?'
 
Kama uwezi muweka ndani ni PM namba zake na mm nalambe asali kiongozi.
 
Umelivagaa mkuu
 
Mkuu umeongea ya ndan sana nakubali nimekuelewa vyema sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…