Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Uko sahihi, kuna mwanamke nilidate naye miaka kadhaa iliyopita, akawa ananiambia "Yaani kwa mambo unayonikosea, usingekuwa unajua kunifikisha ningeshakuacha siku nyingi."Mume wangu ashanipiga matukio lakini ile kufikishwwa kileleni jamani ni adimu sijawahi pata popote. Kwa hiyo najikuta mwaka wa 5 huu.
Usiwaone watu wapo kwenye mahusihano mabaya mbele ya macho yenu unamshauri mtu tokaa hapo ila wapi kuna kitu tu hakuelezi. Vitu vyenyewe ndio kama hivyo jamani.
Wasalaam wana MMU
Nimeona mkuu,yupo bomba sanaSerious mkuu,
Nenda chemba, nikuonyeshe
utajua bana ajili ya androgens zako mwilini ndo maana tunaitwa vidume..km hutajua lolote basi ulistahili kuwa ke!....ukisika uanaume ndo hili la kujua yasiyojulikanakuna mwana mwingine nae anaambiwa ivo ivo kama wewe unavoambiwa.....[emoji23][emoji23][emoji23]
sio mambo ya kuamini sana .
Mbona umecheka? Na wewe ni mmoja wa wanaopigwa matukio lakini hawaoni wala hawasikii?!Hhahaa!
Hapana mkuu maisha ni zaidi ya sex!Mbona umecheka? Na wewe ni mmoja wa wanaopigwa matukio lakini hawaoni wala hawasikii?!
Nakubaliana na wewe; ila sex inashika asilimia yake pia..!Hapana mkuu maisha ni zaidi ya sex!
Pole mkuu. Kumbe haya mambo yako? Nilikuwa siamini!Si bora we alikutishia.... me alienda kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], na alinikomoa Mbwa Yule.
Sitaki tena mademu wa kupalamia palamia...
Kumbe alikuwa na Ndugu yake mganga
Hahaha wazee wa michepuko ya kudumuNi wanawake wachache Sana wanaweza kuhimili mwendo mrefu, Zaid zaidi utapigwa mateke uangukie kule upige chogo kwenye tiles ufie lodge[emoji4]
Una umri gani tuanzie hapo kwanza!?Bado sijakuelewa. Sorry!
Yeah...inarun dunia!Nakubaliana na wewe; ila sex inashika asilimia yake pia..!
Hahahah yupo kabisaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zuchu yupo jf
Ha ha ha...Binamu, mie nimekua zuchu tena? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Zuchu wa mchongo[emoji23][emoji23][emoji23]Binamu, mie nimekua zuchu tena? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]