Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

Uko sahihi, kuna mwanamke nilidate naye miaka kadhaa iliyopita, akawa ananiambia "Yaani kwa mambo unayonikosea, usingekuwa unajua kunifikisha ningeshakuacha siku nyingi."
 
kuna mwana mwingine nae anaambiwa ivo ivo kama wewe unavoambiwa.....[emoji23][emoji23][emoji23]

sio mambo ya kuamini sana .
utajua bana ajili ya androgens zako mwilini ndo maana tunaitwa vidume..km hutajua lolote basi ulistahili kuwa ke!....ukisika uanaume ndo hili la kujua yasiyojulikana
 
Hakuna jambo lamsingi duniani kwa mwanamke kama kukojozwa atakukumbuka daima mkojozaji
 
Si bora we alikutishia.... me alienda kweli[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], na alinikomoa Mbwa Yule.

Sitaki tena mademu wa kupalamia palamia...
Kumbe alikuwa na Ndugu yake mganga
Pole mkuu. Kumbe haya mambo yako? Nilikuwa siamini!
 
Ni wanawake wachache Sana wanaweza kuhimili mwendo mrefu, Zaid zaidi utapigwa mateke uangukie kule upige chogo kwenye tiles ufie lodge[emoji4]
Hahaha wazee wa michepuko ya kudumu
 
Kuna MTU kwao wanamwambiaga mm napenda hela aniache,
..
Yy ndo kafa kaoza kwangu..[emoji1787]
Na sura nyangu ya baba[emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…