Msione mtu anamn'gang'ania mtu kuna vitu havielezeki

Kufika au Kufikishwa Kileleni ni nini haswa, inakuwaje eti!!?
Yaani Ni ile ufanye tendo na ujihisi kabisa hapa nmeipata ladha, Raha, burudani,utamu na shibe tosha ya tendo.

Yaan Ni ile unakojoa bao na unaskia kahisa linatokea mbali, mwili wote unakufa ganzi, na bao linakuja matone matone na hutaki liishe.

Yaan Raha yake Ni amaizing Sana.
Sio ile unaojoa bao kuhitimisha tendo, Hana hamsha hamsha yoyote mwilini mwako utadhan hamna kilichotokea [emoji4]
 
Bado sijakuelewa. Sorry!
 
Ah wee hilo teke anapata wapi nafasi hiyo...umemkndmiza de libolo anagugumia kwa utamu ata pumzi yenyewe anaitafuta ...nguvu ya kurusha tena atoe wapi wakati mapaja yanatetema kama mayele kwa utamu
Ukitumis Nguvu Sana,
Inakua sio burudani Tena Bali mateso.
Utamu unatakiwa uje automatically na sio kufanya kumkomoa[emoji4]
 

Daah..hahaah!
Yupo mmoja pia aliwahi niambia hayo baada ya kumpiga kubuti, eti ataniendea kwa mganga lazima. Ipo siku alimcharaza bint mmoja ambae hata sikuwa na mahusiano nae, yaani alihisi tu akaenda kumcharaza bint wa watu bure[emoji23]
Nikablock kila mahali, sasa ni miaka miwili sijawahi kuwasiliana nae, nadhani bado hajampata mganga!
 
Ooh Ushatuelezea teyari.
 
Kuna watu mnakojolea pazuri daah!!
 
Asante kwa taarifa...kikubwa ni kuweza kumkojoza mwanamke. Sasa slogan ya tafuta hela haina mashiko.
Ngoja nitakuja na slogan mpya veri veri soon.
Acha kujidanganya bro, tafuta HELA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…