Msiotaka kuoa bado mnaosha vyombo na kudeki

Msiotaka kuoa bado mnaosha vyombo na kudeki

Kazi zote ulizotaja hapo Beki tatu anazimaliza kwa weledi kabisa...

Wewe kama umeshaingia huko pambana mkuu,.... Maziwa tunapata kama kawaida sasa Yafaa nini kufuga ng'ombe
 
Nashangaa Sana vijana wenzangu ambao mnaogopa kuoa wanawake wa kileo wawasaidie kazi za home Kama vile kufua nguo ili nyie mpate muda wa kusaka hela huko kitaa mnafeli wapi ndugu zangu hivi kweli mtu mzima Kama wewe unakundula kudeki na kuosha masufuria...acheni zenu hizo ebu oeni huko Tena oeni wale watumishi wa serikali kabisa wawape challenge nyie si mnajifanya ma great thinker huku hamtaki kuja kula million Mia za mafao siku mkeo akistafu.
We msukule wa Mwendazake kazi za kuosha vyombo, kufua, kupiga deki si kipaumbele cha kuoa..... muulize babu yako kipaumbele cha kuona ni nn....
 
Dish washer, na washing machine mbona zipo bei che tu!! siyo mpka mtu aoe
 
Back
Top Bottom