LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Kwenye jamii zetu kuna wale watu ambao kila siku wao ni kukopa tu yaani akikulipa leo anakutarget week or siku kadhaa anakukopa tena yani ni kama pesa yako ushammilikisha yeye so inakaa kwako kwa muda mfupi tu yeye ndio anatamba nayo na watu kama hawa mwisho wa siku huwa ni matapeli siku akishindwa kulipa ndio ntolee.
Wengine utakuta mpo ofisi moja na kipato ni kimoja lakini mwenzio yeye kila siku anakukopa tu hebu jiulize mshahara wake kama haumtoshi we wako ndio unatosha kukopesha watu?
Kukopesha ndugu au marafiki pesa kwa sasa imekuwa ikiua mahusiano ya ukaribu ya watu wengi sana, watu wamekuwa wakitumia ngao ya urafiki au undugu kulia shida ukishawasaidia wanakimbia na pesa zako
Kwa sasa kopesha mtu pesa ndefu for your own risk, ni heri uwe kama gaidi tu utoe jibu moja tu huna hela or mpe ila usimdai kuepusha lawama maana, hali ni tete now.
Kwa sasa ni heri mtu umshauri akakope kwenye taasisi or kama kaajiriwa akakope tu kazini, ukiona mtu mpaka kafika kwako ujue huko kote hakopesheki.
Wengine utakuta mpo ofisi moja na kipato ni kimoja lakini mwenzio yeye kila siku anakukopa tu hebu jiulize mshahara wake kama haumtoshi we wako ndio unatosha kukopesha watu?
Kukopesha ndugu au marafiki pesa kwa sasa imekuwa ikiua mahusiano ya ukaribu ya watu wengi sana, watu wamekuwa wakitumia ngao ya urafiki au undugu kulia shida ukishawasaidia wanakimbia na pesa zako
Kwa sasa kopesha mtu pesa ndefu for your own risk, ni heri uwe kama gaidi tu utoe jibu moja tu huna hela or mpe ila usimdai kuepusha lawama maana, hali ni tete now.
Kwa sasa ni heri mtu umshauri akakope kwenye taasisi or kama kaajiriwa akakope tu kazini, ukiona mtu mpaka kafika kwako ujue huko kote hakopesheki.