Msipokeshe pesa watu ovyo, wamekuwa wagumu sana kulipa madeni

Msipokeshe pesa watu ovyo, wamekuwa wagumu sana kulipa madeni

Ni WaTZ I think ndio wenye uaminifu mdogo. Wabinafsi mno wakishatatua shida zao.
Mkuu watanzania tunadekezana sana huku kukopeshana huwezi sikia kwenye nchi za wenzetu hata majirani zetu tu hapo kenya.

Watanzania ni wavivu na wapenda starehe, unakuta mtu ana mshahara mzuri tu ila katikati ya wiki anakuambia pesa hana, sasa mtu kama huyu unamsaidia vipi?
 
Nimeona huu uzi mpaka roho imeruka! Nilisha sema siwezi mkopesha mtu pesa tena mana najua inavunja uhusiano Kabisa, sasa sijui ni jini gani limenikumba majuzi hapa kuna jamaa yangu yuko na biashara zake ananiambia kakwama ni msave hela ndani ya week mbili atakua karudisha. Ni pesa ambayo sijawahi mkopesha mtu mana ni nyingi kiasi sijui kilitokea nini mpaka nikampa labda aliroga yule sio bure. Leo ni week ya tatu nampigia ananiletea story nyingi mara kuna hili mara kuna lile ila atatoa namtumia hata majini.
 
Nimeona huu uzi mpaka roho imeruka! Nilisha sema siwezi mkopesha mtu pesa tena mana najua inavunja uhusiano Kabisa, sasa sijui ni jini gani limenikumba majuzi hapa kuna jamaa yangu yuko na biashara zake ananiambia kakwama ni msave hela ndani ya week mbili atakua karudisha. Ni pesa ambayo sijawahi mkopesha mtu mana ni nyingi kiasi sijui kilitokea nini mpaka nikampa labda aliroga yule sio bure. Leo ni week ya tatu nampigia ananiletea story nyingi mara kuna hili mara kuna lile ila atatoa namtumia hata majini.
Nilimkopa mtu pesa ndefu tu milioni tatu na laki nane kwa minajili ya kurudisha baada ya mwezi, ila baada ya mwezi kupita nikaona ananizungusha nilichomfanya hatosahau urafiki uliisha na fedha alirudisha kama wewe sio mbabe usiwe mwepesi wa kukopesha maana watanzania hawaasaidiki
 
Mkuu watanzania tunadekezana sana huku kukopeshana huwezi sikia kwenye nchi za wenzetu hata majirani zetu tu hapo kenya.

Watanzania ni wavivu na wapenda starehe, unakuta mtu ana mshahara mzuri tu ila katikati ya wiki anakuambia pesa hana, sasa mtu kama huyu unamsaidia vipi?
Huyo mkopeshe kwa riba, hakuna namna.
 
Nimeona huu uzi mpaka roho imeruka! Nilisha sema siwezi mkopesha mtu pesa tena mana najua inavunja uhusiano Kabisa, sasa sijui ni jini gani limenikumba majuzi hapa kuna jamaa yangu yuko na biashara zake ananiambia kakwama ni msave hela ndani ya week mbili atakua karudisha. Ni pesa ambayo sijawahi mkopesha mtu mana ni nyingi kiasi sijui kilitokea nini mpaka nikampa labda aliroga yule sio bure. Leo ni week ya tatu nampigia ananiletea story nyingi mara kuna hili mara kuna lile ila atatoa namtumia hata majini.
Huyo mpe muda, usimsumbue. Kaa kimya! Tulia hata week 2 tu utajua hatma yake. Fanya hivyo ili akose pa kujitetea hapo mbeleni.!
 
Nilimkopa mtu pesa ndefu tu milioni tatu na laki nane kwa minajili ya kurudisha baada ya mwezi, ila baada ya mwezi kupita nikaona ananizungusha nilichomfanya hatosahau urafiki uliisha na fedha alirudisha kama wewe sio mbabe usiwe mwepesi wa kukopesha maana watanzania hawaasaidiki
Kitu gani mzee ulimfanya? Je, ni kweli hakuwa na uwezo wa kurudisha kwa wakati au ALIDHAMIRIA kukudhulumu?

Alikuletea jeuri?
 
Kweli kabisa mkuu,, nina kaka yangu ana tabia hii akiwa na shida namuonea huruma namkopa lkn akipata hela hanirudishii mpaka nakausha.

tunafanya kazi sehem moja ila kila mtu kivyake kwahyo akipata hela najua na asipopata naelewa.

Mara ya kwanza nilimkopa laki 2 akaniambia tareh fulan takupa na kweli hiyo siku ilipofika alipata laki 6 ila anasema mambo yameingiiana pesa haitoshi akanipa elfu 30 tu.

Mara ya pili aliniambia nitumie 50k nakuja kukupa nikifika hapo ,, nilimtumia kwasababu ilikua ni issue muhim ila akaja akanipanga tu nikamuacha kwasababu sina chakumfanya ni ndugu yangu kabisa.. ila sasa nimejifunza roho mbaya kiufup nimehitimu degree ya roho mbaya namsubiri tu
 
Binafsi huwa nakopesha watu pesa kwa Nia njema kabisa.

Lakini Mimi huwa nikikwama Hakuna my hata mmoja ananikopesha. Kila mtu Hana.

Ila ndio Maisha tuliyochagua.

Tumeshajenga taifa la JANJA JANJA NA KUTOAMINIANA.

Muhimu kama humsaidii mtu na wewe hakikisha huombi msaada kwa mtu.
pole mkuu,wewe ni muhanga mwenzangu,nakopesha sana watu lakini napopata shida ya pesa sipati kabisa msaada!😭
 
Sentence case: Maisha ya kawaida yanakufanya uwafahamu watu kawaida, ila ukianza biashara ya kukopesha ndipo utakapowaona binadamu wana unyama ndani yao. Nilikuwa nakopesha pesa na hata niliwafahamu ndugu, jamaa na marafiki upya. Pesa ni mwanaharamu sana.

Imagine mtu alikopa 600k, akakaa nayo miezi 9, akakopa benki zaidi ya 20m, akaja akapunguza deni 300k, akapotea mazima, akanunua gari la kifahari na ni mfanyakazi wa kawaida. Kuna kipindi nahisi damu inanuka mdomoni nikimuona. Asante Mungu nilisamehe.

NB: Usiseme mtu fulani yuko smart kama usmart wake haujahusisha kukopeshana pesa. Si wanawake, si waumini, si wachungaji, si watu maarufu, si wenye vyeo, n.k.
 
pole mkuu,wewe ni muhanga mwenzangu,nakopesha sana watu lakini napopata shida ya pesa sipati kabisa msaada!😭
Hio ndo changamoto sana au hata ukiwa wakala usije dhubutu ndugu,marafiki wajue au wapangaji wezako wajue ni hatari unakua back up yao ila kurudisha sana
 
Sentence case: Maisha ya kawaida yanakufanya uwafahamu watu kawaida, ila ukianza biashara ya kukopesha ndipo utakapowaona binadamu wana unyama ndani yao. Nilikuwa nakopesha pesa na hata niliwafahamu ndugu, jamaa na marafiki upya. Pesa ni mwanaharamu sana.

Imagine mtu alikopa 600k, akakaa nayo miezi 9, akakopa benki zaidi ya 20m, akaja akapunguza deni 300k, akapotea mazima, akanunua gari la kifahari na ni mfanyakazi wa kawaida. Kuna kipindi nahisi damu inanuka mdomoni nikimuona. Asante Mungu nilisamehe.

NB: Usiseme mtu fulani yuko smart kama usmart wake haujahusisha kukopeshana pesa. Si wanawake, si waumini, si wachungaji, si watu maarufu, si wenye vyeo, n.k.
Pole sana kka
 
Back
Top Bottom