Msipokeshe pesa watu ovyo, wamekuwa wagumu sana kulipa madeni

Msipokeshe pesa watu ovyo, wamekuwa wagumu sana kulipa madeni

Hata kwenye taasisi za mikopo ni hivyo hivyo.
Tunapata shida sana.
 
Kuna jamaa anamadeni kinoma siku moja akanichana kuwa yeye huwa halipi madeni anachofanya anahakikisha hela yako anakaa nayo miez Kama 8 hadi uwe mkali Hadi kichaa kitake kupanda alafu anachofanya hatoi hela yake mfukoni anaenda kukopa kwa mtu Mwingine ili akulipe
Anasema mdai wa zamani siku zote ndo anasumbua sana ila mdai mpya huwa hana nongwa.

Baada ya wiki akajisahau akaja kuniomba nimkopeshe.
 
Huwa mna mambo ya ajabu sana baadhi ya watu
Yaani umkopeshe hajui bank ilipo?
Haya ya kukopana ni kuongezeana umasikini tu
Mbona kwingine hamna mambo haya?
Kila mmoja ana maisha yake sasa inakuwaje mtu anakuja na kukuambia nikope Na wewe unampa duu
Mimi kama ni huko mtu ananiomba mkopo ntamwambia sitoi mikopo ila ntakusaidia elfu kadhaa bure zingine ukajaze unakojua maana wengine ni ving’ang’anizi sana
 
Binafsi huwa nakopesha watu pesa kwa Nia njema kabisa.

Lakini Mimi huwa nikikwama Hakuna my hata mmoja ananikopesha. Kila mtu Hana.

Ila ndio Maisha tuliyochagua.

Tumeshajenga taifa la JANJA JANJA NA KUTOAMINIANA.

Muhimu kama humsaidii mtu na wewe hakikisha huombi msaada kwa mtu.
 
Kuna jamaa anamadeni kinoma siku moja akanichana kuwa yeye huwa halipi madeni anachofanya anahakikisha hela yako anakaa nayo miez Kama 8 hadi uwe mkali Hadi kichaa kitake kupanda alafu anachofanya hatoi hela yake mfukoni anaenda kukopa kwa mtu Mwingine ili akulipe
Anasema mdai wa zamani siku zote ndo anasumbua sana ila mdai mpya huwa hana nongwa.

Baada ya wiki akajisahau akaja kuniomba nimkopeshe.
Mwambiee ipo siku yake.....ata ipata dawa.
 
Kwenye jamii zetu kuna wale watu ambao kila siku wao ni kukopa tu yaani akilkulipa leo anakutarget week or siku kadhaa anakukopa tena yani ni kama pesa yako ushammilikisha yeye so inakaa kwako kwa muda mfupi tuu yeye ndio anatamba nayo na watu kama hawa mwisho wa siku huwa ni matapeli siku akishindwa kulipa ndio ntolee

Wengine utakuta mpo ofisi moja na kipato ni kimoja lakini mwenzio yeye kila siku anakukopa tu hebu jiulize mshahara wake kama haumtoshi we wako ndio unatosha kukopesha watu?

Kukopesha Ndugu au Marafiki pesa kwa sasa imekuwa ikiuwa mahusiano ya ukaribu ya watu wengi sana, watu wamekuwa wakitumia ngao ya urafiki au undugu kulia shida ukishawasaidia wanakimbia na pesa zako

Kwa sasa kopesha mtu pesa ndefu for your own risk, ni heri uwe kama gaidi tu utoe jibu moja tu huna hela or mpe ila usimdai kuepusha lawama maana, hali ni tete now.

Kwa sasa ni heri mtu umshauri akakope kwenye taasisi or kama kaajiriwa akakope tu kazini, ukiona mtu mpaka kafika kwako ujue huko kote hakopesheki.
Umeongea ukweli mtupu👍
 
Kuna jamaa anamadeni kinoma siku moja akanichana kuwa yeye huwa halipi madeni anachofanya anahakikisha hela yako anakaa nayo miez Kama 8 hadi uwe mkali Hadi kichaa kitake kupanda alafu anachofanya hatoi hela yake mfukoni anaenda kukopa kwa mtu Mwingine ili akulipe
Anasema mdai wa zamani siku zote ndo anasumbua sana ila mdai mpya huwa hana nongwa.

Baada ya wiki akajisahau akaja kuniomba nimkopeshe.
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kwenye jamii zetu kuna wale watu ambao kila siku wao ni kukopa tu yaani akilkulipa leo anakutarget week or siku kadhaa anakukopa tena yani ni kama pesa yako ushammilikisha yeye so inakaa kwako kwa muda mfupi tuu yeye ndio anatamba nayo na watu kama hawa mwisho wa siku huwa ni matapeli siku akishindwa kulipa ndio ntolee

Wengine utakuta mpo ofisi moja na kipato ni kimoja lakini mwenzio yeye kila siku anakukopa tu hebu jiulize mshahara wake kama haumtoshi we wako ndio unatosha kukopesha watu?

Kukopesha Ndugu au Marafiki pesa kwa sasa imekuwa ikiuwa mahusiano ya ukaribu ya watu wengi sana, watu wamekuwa wakitumia ngao ya urafiki au undugu kulia shida ukishawasaidia wanakimbia na pesa zako

Kwa sasa kopesha mtu pesa ndefu for your own risk, ni heri uwe kama gaidi tu utoe jibu moja tu huna hela or mpe ila usimdai kuepusha lawama maana, hali ni tete now.

Kwa sasa ni heri mtu umshauri akakope kwenye taasisi or kama kaajiriwa akakope tu kazini, ukiona mtu mpaka kafika kwako ujue huko kote hakopesheki.
Inaitwa jibebe wana tozo wajukuu wa tozo
 
Back
Top Bottom