fabinyo hiyo avatar yako mwana nimekubali, umeenda na contrast siyo? maana meno tu.
Kuhusu binti, mi namjua bibi kizee aitwa "Binti Saidi" na ana miaka 80, sasa ubinti maana yake si umri, maana yake ni mtoto wa kike wa mtu fulani. Na hakuna mwanamke asiye mtoto wa fulani. Mbona Bin Laden jitu zima lakin anaitwa Bin Laden? Sasa Bin na Bint zina tofauti gani?
Mwanamke kutotongozwa atake mwenyewe, au labda kama anataka unrealistic hunks with own moneytree and a plot on the Sea of Tranquility.
Kila mtu ana wake, ni kujua tu wapi pa kuangalia. Kama unakinga ndoo upate maji ya mvua katikati ya Atacama unategemea nini?