TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
Hii habari ni kama watu wanatafuta engagement tu kwenye social medias mbalimbali ila ukweli siyo huo wanaoandika huko na hapa JF.
Yule kocha Romavic kuna timu imefika dau hivyo imemtongoza akakubali ndipo hiyo timu ilivunja mkataba na Yanga African SC kwa kuilipa kiasi cha pesa kutokana na mkataba wao na kocha.
Soma Pia:Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic. Na kumtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi
Waliokiwa wa kwanza kuandika hii ni vile walikuwa wanatafuta kuwa wa kwanza na habari ya uongo uongo tu, vile JF nayo siku hizi wamekuwa wa kausha damu, habari ya uongo inapewa heading na ikija ya ukweli inaunganishwa na ile fake.
Haya twende kazi.
Yule kocha Romavic kuna timu imefika dau hivyo imemtongoza akakubali ndipo hiyo timu ilivunja mkataba na Yanga African SC kwa kuilipa kiasi cha pesa kutokana na mkataba wao na kocha.
Soma Pia:Yanga yavunja rasmi mkataba na Sead Ramovic. Na kumtangaza Kocha wake mpya, Miloud Hamdi
Waliokiwa wa kwanza kuandika hii ni vile walikuwa wanatafuta kuwa wa kwanza na habari ya uongo uongo tu, vile JF nayo siku hizi wamekuwa wa kausha damu, habari ya uongo inapewa heading na ikija ya ukweli inaunganishwa na ile fake.
Haya twende kazi.