TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 14,747
- 24,250
- Thread starter
- #21
Aliyevunja mkataba siyo aliyefunga mkataba bali anayetaka kuuvunja.Kwa hiyo tuseme hiyo timu ilikuwa na mkataba na Yanga?
Endapo Yanga ingemfukuza hapo Yanga ndiye kavunja na endapo Romavic angeondoka kibabe basi ndiye angekuwa kavunja ila...
Timu iliyofika bei ndiyo imeongea na kocha then timu ikawasiliana na Yanga African ili kuvunja mkataba wa Yanga na Ramovic.