Msipotoshe: Aliyevunja Mkataba Siyo Yanga SC Wala Ramovic!

Kwa hiyo tuseme hiyo timu ilikuwa na mkataba na Yanga?
Aliyevunja mkataba siyo aliyefunga mkataba bali anayetaka kuuvunja.

Endapo Yanga ingemfukuza hapo Yanga ndiye kavunja na endapo Romavic angeondoka kibabe basi ndiye angekuwa kavunja ila...

Timu iliyofika bei ndiyo imeongea na kocha then timu ikawasiliana na Yanga African ili kuvunja mkataba wa Yanga na Ramovic.
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Timu iliyofika bei ndiyo imeongea na kocha then timu ikawasiliana na Yanga African ili kuvunja mkataba wa Yanga na Ramovic.
Hakuna kitu kama hicho. Hakuna timu zinazofanya uhamisho wa makocha kasoro Yanga na Singida United tu
 
Kuna watu kama wachawi
Your browser is not able to display this video.
 
Siyo kwamba alitaka awe w kwanza waliowengi uwezo wao wa kutafsiri taarifa ni mdogo, kumbe pia kama uwezo wako wa kutafsiri taarifa ni mdogo unaweza kuwasababishia changamoto wengine hata wewe mwenyewe
 
Kodro na kundi lake walikuwa kwa mkopo wa miezi 6 hapo utapoloni na mipango ya hersi alitegemea mtafuzu robo fainali aboreshe mkataba wa side mnyamwezi lakini mambo yakaenda tofauti
 
Wakala wa Mzize ajifunze sio kuongea mtandaoni kuwa mteja wangu ana ofa Hadi ulaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…