Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Kwani pure Android ya Google Pixel na hiyo One UI ya Samsung ipi ni software bora[emoji23][emoji23]Hakuna UI bora kwenye simu za Android kuliko One UI ya Samsung, hakuna.
Hizo oxygen os, sijui MIUI, color OS sijui nani hazimfikii Samsung.
Ile fluidity ya One UI, mpangilio wa apps, visual impression na mambo mengine mengi haina mfano.
hii ilinikuta kwenye galaxy Note 5 enzi hizo, simu Duka la samsung ilikuwa kama 1.5M ila mie nikaipata mpya Makumbusho kwa 400K, ilikuwa poa sana kila kitu mpaka nilipoupdate.. mzigo ukawa hausomi line yeyote... Kumbe bwana ilikuwa simu ya USA-VERIZON... haisomi bands za Bongo.Mi yangu kila siku inanipa notification ya ku update lakini naiogopa isije ikaleta maseke mana masimu yenyewe aya ya bei chee nshawai update moja bhana wee ikaanza chagua laini kumbe simu nlipigwa hilikua ya voda wajanja waliichezea ikawa inasomanlaini yeyote baada ya kupokea maboresho ikarudi vile ilivyopaswa kuwa nilimind sana
utakuwa huzijui pixels wewe!Ukipata hela kwenye Android nunua Samsung,
samsung gani hiiImebidi niwe mpole baada ya kujaribu kudownload io update na nikapata hio error View attachment 2487190
hivi unazijua Huawei mkuu?Hizo color sijui nini bado sana kwa One UI. Acheni kujifariji na simu za viwango vya kawaida.
Xiami, Oppo, Redme nk bado sana kumfikia Samsung. Samsung anawazidi kila kitu, kila kitu. Yuko mbali sana.
Ukipata hela kwenye Android nunua Samsung, ukikosa hela ukapata kidogo nunua hizo Xiaomi, Oppo nk na ukikosa hela kabisa nunua tecno.
pixel ukitoa camera anabakia na nini?utakuwa huzijui pixels wewe!
Softwarepixel ukitoa camera anabakia na nini?
yes ukitoa na software ananini kingine?Software
Ukitoa software Google Pixel hana la maana. Huku kwingine kawaachia kina Samsung, iPhone, Xiaomi, Huawei, One Plus, etc.yes ukitoa na software ananini kingine?
yes umenena...Ukitoa software Google Pixel hana la maana. Huku kwingine kawaachia kina Samsung, iPhone, Xiaomi, Huawei, One Plus, etc.
Aisee kama hiyo Samsung ni "budget phone" usijaribu kuiupdate. Ogopa sana.Imebidi niwe mpole baada ya kujaribu kudownload io update na nikapata hio error View attachment 2487190
Nijibu bila kificho. KUANZIA IPHONE 12 KUENDELEA, sijawahi zishika nikazitumia zaidi ya kuziona kwa watu na hua sizichunguzi , je display yake ina quality nzuri kama ya samsung hizi s series mie now nina s9 ila quality ni nyoko . Hoja ya pili kwa samsung s9 setting ipi inaifanya simu iruhusu asilimia za mwanga kutokana na mtumiaji ulipo ( brightness setting kua automatic) .Aisee kama hiyo Samsung ni "budget phone" usijaribu kuiupdate. Ogopa sana.
One UI update ni nzito kwa budget phones kuhimili. Usije ukaja kutukana Samsung zote humu ndani
Mbona hizo feature zpo samsung kitambo,nliwahi tumia A10 nkakuta,sjui kwa sasa1. Split Screen.
2. Float Screen.
3. Guest Account (unakuwa na accounts kibao ndani ya simu na zinajitegemea)
4. Touching gestures za kutosha with the screen off
Na vitu vingine viingi ambavyo kwenye Samsung sikuviona.
Nimetumia Samsung S10+ na ndio nikahamia Oppo
Hata me namshangaaMhhhhh, mkuu nina mashaka na unachokisema.
Mwaka 2019/20 nilikua natumia S10+ na function ya Mult window ama split screen ilikuwepo wewe unasema hukuiona?
Umenipa mashaka na maelezo yako.
Mkuu asante kwa taarifa hii. Samsung yangu juzi kati inaita haionyeshi namba nikajua mbovu kumbe ni android 13. Gracias senor!Wakuu naomba kuwakumbusha kwamba Android 13 ilishatoka toka mwaka Jana August na kwa Samsung imeanza kutoka October 22.
Simu yangu ilipata updates October 22, hivyo natumia Android 13 toka kipindi hicho.
Kitu kimoja nilisahau nimependa na ningependa kuwashirikisha ni uwezo wa kutokuonyesha nani anakupigia hadi pale utakapotoa lock ya simu.
Kama simu iko locked na mtu akapiga, haitoi mwanga wala kuonyesha jina zaidi ya mlio wa kuita/ringtone kuna mtu anakupigia. Hivyo ili kuona jina la mtu lazima utoe lock.
Hii ni feature nzuri kwa wale wazee wa nyumba ndogo.[emoji23]
Anyway, nawakumbusha tu, msisahau ku-update Android zenu. Wale wapenzi wa Samsung, tutegemee mambo mazuri kwenye Galaxy Unpacked tarehe 1 Februari 2023.
View attachment 2482989
Huawei iko kwenye soko la simu la wapi mkuu? Huawei ni kesi ya zamani tushaisahau sasa kwenye soko la simu Duniani.hivi unazijua Huawei mkuu?
Mkuu hongera sana.Mimi simu yangu Tecno ipo Android 3 kwa sasa. Naenjoy kinyama.
S20 ultra mzeesamsung gani hii