Msisahau ku-update Android zenu kwenda Android 13

Hakuna UI bora kwenye simu za Android kuliko One UI ya Samsung, hakuna.

Hizo oxygen os, sijui MIUI, color OS sijui nani hazimfikii Samsung.

Ile fluidity ya One UI, mpangilio wa apps, visual impression na mambo mengine mengi haina mfano.
Kwani pure Android ya Google Pixel na hiyo One UI ya Samsung ipi ni software bora[emoji23][emoji23]
Again inajulikana na ipo wazi kuwa One UI ni bora kuliko ColorOS, MIUI, Realme UI, etc. Lakini vipi kuhusu Stock Android[emoji41][emoji41]
 
hii ilinikuta kwenye galaxy Note 5 enzi hizo, simu Duka la samsung ilikuwa kama 1.5M ila mie nikaipata mpya Makumbusho kwa 400K, ilikuwa poa sana kila kitu mpaka nilipoupdate.. mzigo ukawa hausomi line yeyote... Kumbe bwana ilikuwa simu ya USA-VERIZON... haisomi bands za Bongo.
Toka that day sitaki simu ya hela ndogo na pia lazima nifatilie kama custom ROM ya simu husika ni Global. Hii kitu ipo especially SAMSUNG.

Kwa wale ambao mnanunua simu zenu za samsung kkoo ama m/kumbusho chondechonde msiupdate hizo androids, mtakuja mlie na kusaga meno!
 
Imebidi niwe mpole baada ya kujaribu kudownload io update na nikapata hio error
 
hivi unazijua Huawei mkuu?
 
Aisee kama hiyo Samsung ni "budget phone" usijaribu kuiupdate. Ogopa sana.
One UI update ni nzito kwa budget phones kuhimili. Usije ukaja kutukana Samsung zote humu ndani
Nijibu bila kificho. KUANZIA IPHONE 12 KUENDELEA, sijawahi zishika nikazitumia zaidi ya kuziona kwa watu na hua sizichunguzi , je display yake ina quality nzuri kama ya samsung hizi s series mie now nina s9 ila quality ni nyoko . Hoja ya pili kwa samsung s9 setting ipi inaifanya simu iruhusu asilimia za mwanga kutokana na mtumiaji ulipo ( brightness setting kua automatic) .
 
Mimi simu yangu Tecno ipo Android 3 kwa sasa. Naenjoy kinyama.
 
Mbona hizo feature zpo samsung kitambo,nliwahi tumia A10 nkakuta,sjui kwa sasa
 
Mhhhhh, mkuu nina mashaka na unachokisema.

Mwaka 2019/20 nilikua natumia S10+ na function ya Mult window ama split screen ilikuwepo wewe unasema hukuiona?

Umenipa mashaka na maelezo yako.
Hata me namshangaa
 
Mkuu asante kwa taarifa hii. Samsung yangu juzi kati inaita haionyeshi namba nikajua mbovu kumbe ni android 13. Gracias senor!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…