Ni S20 ultra mzee, na ata firmware yake ni official sio custom. Nikaenda kuconfirm knox count yake imekuwa triggered kule download mode lakini naona napo Ipo intact (0).Aisee kama hiyo Samsung ni "budget phone" usijaribu kuiupdate. Ogopa sana.
One UI update ni nzito kwa budget phones kuhimili. Usije ukaja kutukana Samsung zote humu ndani
karibu mkuu hata sijutii huku nilipoWengine tushahamia kwenye harmony os.
pole sana mkuu hujakutana na simu bossHuawei iko kwenye soko la simu la wapi mkuu? Huawei ni kesi ya zamani tushaisahau sasa kwenye soko la simu Duniani.
Hiyo harmonyOS unaweza kitumia illegal websites au na wenyewe wana limitation za ajabu kama iOSkaribu mkuu hata sijutii huku nilipo
sizungmzii hizo pixels za zamani, we jaribu kuanzia pixel 6, Balaa lake hasa AI sio la kawaida!pixel ukitoa camera anabakia na nini?
unazungumzia pixel ipi? na simu asilimia kubwa ni software Kijana!Ukitoa software Google Pixel hana la maana. Huku kwingine kawaachia kina Samsung, iPhone, Xiaomi, Huawei, One Plus, etc.
Kwani mimi nimesemajeunazungumzia pixel ipi? na simu asilimia kubwa ni software Kijana!
Mkuu hii custme rom unaipatia kwenye setting za simu husika au unafanyaje ndg natanguliza shukranihii ilinikuta kwenye galaxy Note 5 enzi hizo, simu Duka la samsung ilikuwa kama 1.5M ila mie nikaipata mpya Makumbusho kwa 400K, ilikuwa poa sana kila kitu mpaka nilipoupdate.. mzigo ukawa hausomi line yeyote... Kumbe bwana ilikuwa simu ya USA-VERIZON... haisomi bands za Bongo.
Toka that day sitaki simu ya hela ndogo na pia lazima nifatilie kama custom ROM ya simu husika ni Global. Hii kitu ipo especially SAMSUNG.
Kwa wale ambao mnanunua simu zenu za samsung kkoo ama m/kumbusho chondechonde msiupdate hizo androids, mtakuja mlie na kusaga meno!
Hiyo harmonyOS unaweza kitumia illegal websites au na wenyewe wana limitation za ajabu kama iOS
sawa mkuu labda unazifikiria zile Huawei za zamani..Huawei iko kwenye soko la simu la wapi mkuu? Huawei ni kesi ya zamani tushaisahau sasa kwenye soko la simu Duniani.
mwelekze huyo shida watu wanaponda vitu alfu hawajawi kutumia wamebaki kukalili tu.pole sana mkuu hujakutana na simu boss
@KibajajitzHiyo harmonyOS unaweza kitumia illegal websites au na wenyewe wana limitation za ajabu kama iOS
Sasa ndio ninauliza hiyo Harmony OS ina-allow illegal websites au na wenyewe wana limitation za ajabu kama iOS?Is why ina depend na focus ya brand husika. Ios wana vision tofauti na android.
So user mwenyewe ataenda panapo mfaa
ina allow mkuu..Sasa ndio ninauliza hiyo Harmony OS ina-allow illegal websites au na wenyewe wana limitation za ajabu kama iOS?
Hakuna UI bora kwenye simu za Android kuliko One UI ya Samsung, hakuna.
Hizo oxygen os, sijui MIUI, color OS sijui nani hazimfikii Samsung.
Ile fluidity ya One UI, mpangilio wa apps, visual impression na mambo mengine mengi haina mfano.
If no reasonable reasons then how are you gonna convince us?UI BORA DUNIANI NI YA SAMSUNG ZILE FONT TU KILA MTU ANAZIPENDA NA SIMU NI KALI MSIJIPE MOYO SIAMOIII SIJUI OPOLO SIMU NI SAMSUNG N IPHONE BASIIIII
Hoja zako hapa nimezielewa sana, kingina nafikiri ni mapenzi binafsi ya mtu, Binafsi naikubali sana one UI, hizi za saivi ndo wameua kabisa!If no reasonable reasons then how are you gonna convince us?
Software bora ni iOS ya iPhone na Stock Android ya Google Pixel. Then ndio atakuja Samsung One UI, akitoka Samsung, Xiaomi, Oppo n.k watafuatia. Kwa simu za Android software yenye better optimisation ni Android One ya Google Pixel, Motorola, etc ambayo ni simple and clear. Then One UI hamfikii iOS kwenye optimisation pia. One UI anampita MIUI kwenye optimisation lakini MIUI inapendwa sana na watumiaji kwa sababu inawaweka Xiaomi users kwenye ulimwengu wao na hufunika kabisa ile Android look and feeling kwenye smartphones zao ndio maana kwenye Xiaomi phones ni muhimu sana ku-update MIUI kuliko Android version kwa sababu Xiaomi inapambwa na features zao wenyewe kuliko za Android. Licha ya watu kujua kuwa One UI ni bora kuliko MIUI lakini bado wengine wanapenda zaidi MIUI kwa sababu ya features zake za kipekee tofauti na simu nyingine za Android. Oppo yeye ana ColorOS ambayo ina features chache lakini ni smooth kuliko MIUI na One UI kwa hiyo Kila mtu ana mtazamo wake
Hapo sijaongelea Harmony OS ya Huawei
Mimi natumia S20 kabla ya hii nilikuwa na REDMI note 10Ni feature zipi ambazo unaziona xiaomi na oppo ila Samsung huzioni?
Mimi binafsi labda ije brand mpya ya simu (Tesla) ndio naweza kuhama Samsung.
Na hua unatumia Samsung zipi, low end, mid end ama high ends? Mimi huku kwenye high ends Samsung amenishika na hapa nasubiri Februari 1 atoe Galaxy 23 nijichukulie mzigo.
Xiaomi zinatunza sana chaji kwa sasa hiyo siyo ishu kwa Xiaomi. Na sio Xiaomi peke yake karibia Kila brand siku hizi simu zake zinakaa na chaji. Hizo Infinix kwa sasa hazina upinzani wa maana kwenye chaji. Angalia simu za sasahivi unaangalia video masaa 15 hadi 20 ndio chaji inaisha.Vp xiaomi zinatunza battery?? Lets say xiaomi yenye battery 5000mAh naweza kukaa nayo sku mbili ikiwa data on???
Watu wengi Wanakimbilia infinix sio kwa sababu n nzuri hapana,,, n kwa sababu inakaa na battery week nzma,,, uwezo wa battery wa infinix unawatia upofu watumiaji na kujikuta wanasahau kuangalia vitu basic kama vile CPU.
Kwa comment zako humu,, nianaamini ww ni agent/super customer/die hard fan wa xiaomi