Sawa sawaXiaomi zinatunza sana chaji kwa sasa hiyo siyo ishu kwa Xiaomi. Na sio Xiaomi peke yake karibia Kila brand siku hizi simu zake zinakaa na chaji. Hizo Infinix kwa sasa hazina upinzani wa maana kwenye chaji. Angalia simu za sasahivi unaangalia video masaa 15 hadi 20 ndio chaji inaisha.
zinakaa chaji mzee.Vp xiaomi zinatunza battery?? Lets say xiaomi yenye battery 5000mAh naweza kukaa nayo sku mbili ikiwa data on???
Watu wengi Wanakimbilia infinix sio kwa sababu n nzuri hapana,,, n kwa sababu inakaa na battery week nzma,,, uwezo wa battery wa infinix unawatia upofu watumiaji na kujikuta wanasahau kuangalia vitu basic kama vile CPU.
Kwa comment zako humu,, nianaamini ww ni agent/super customer/die hard fan wa xiaomi
imecheka kwa sautiMi yangu kila siku inanipa notification ya ku update lakini naiogopa isije ikaleta maseke mana masimu yenyewe aya ya bei chee nshawai update moja bhana wee ikaanza chagua laini kumbe simu nlipigwa hilikua ya voda wajanja waliichezea ikawa inasomanlaini yeyote baada ya kupokea maboresho ikarudi vile ilivyopaswa kuwa nilimind sana
😂😂😂😂N
imecheka kwa sauti
N
imecheka kwa sauti
If no reasonable reasons then how are you gonna convince us?
Software bora ni iOS ya iPhone na Stock Android ya Google Pixel. Then ndio atakuja Samsung One UI, akitoka Samsung, Xiaomi, Oppo n.k watafuatia. Kwa simu za Android software yenye better optimisation ni Android One ya Google Pixel, Motorola, etc ambayo ni simple and clear. Then One UI hamfikii iOS kwenye optimisation pia. One UI anampita MIUI kwenye optimisation lakini MIUI inapendwa sana na watumiaji kwa sababu inawaweka Xiaomi users kwenye ulimwengu wao na hufunika kabisa ile Android look and feeling kwenye smartphones zao ndio maana kwenye Xiaomi phones ni muhimu sana ku-update MIUI kuliko Android version kwa sababu Xiaomi inapambwa na features zao wenyewe kuliko za Android. Licha ya watu kujua kuwa One UI ni bora kuliko MIUI lakini bado wengine wanapenda zaidi MIUI kwa sababu ya features zake za kipekee tofauti na simu nyingine za Android. Oppo yeye ana ColorOS ambayo ina features chache lakini ni smooth kuliko MIUI na One UI kwa hiyo Kila mtu ana mtazamo wake
Hapo sijaongelea Harmony OS ya Huawei
Mm natumia iOS 17 na mambo yapo safi Japo haikawa stable sana labda ikitoka public beta wataongeza na feature zingine
Hizi Redmi naona zinasifiwa sana ila Kuna mdau tunafanyag nae kazi sehem moja alinunua Redmi note 10 Yan simu ipo slow kweny ishu za network bado setting zake kama vile tofaut sana n wenzake.Kwenye Redmi Note 10 pro ilishakuwepo hata kabla ya update ya Android 13.
Hata Redmi 9A ipo vizuri kwenye network, hiyo ya rafiki yako ilikuwa na matatizo labdaHizi Redmi naona zinasifiwa sana ila Kuna mdau tunafanyag nae kazi sehem moja alinunua Redmi note 10 Yan simu ipo slow kweny ishu za network bado setting zake kama vile tofaut sana n wenzake.
Nikajaribu kukumbuka kabla ya kununua oppo A74 nilivokua na mzuka wa Redmi,
Baada ya kuuliza zaidi nikaambiwa Xiaomi ndo best phone kutoka kampuni hio inayotengeneza Xiaomi na Redmi
Sasa mm najiuliza Redmi mnazosifia zinatoka nchi gani au ndo hizi hizi ninazoziona...?? Ila mnajaribu zipa sifa zisizokua nazo..? Mana inawezekan zikawa na feature nzur na nying ila software ni hopeless.
Hapa nafifikiria kununua Xiaomi then hii nimwachie wife ila nikifikiria sifa za simu mnazotoa na wengine tunaziona kwa uhalisia napata kigugumizi.
Hapa nimekupata... mana nilikua nishajipanga kumchukua Xiaomi mi 11 lite ila nikawa na hofu ila Sasa nirudishe nia.Hata Redmi 9A ipo vizuri kwenye network, hiyo ya rafiki yako ilikuwa na matatizo labda
Xiaomi anatengeneza simu za bei rahisi, bei ya kati na bei ya juu pia. Usije ukanunua Redmi za laki 2 halafu utegemee eti iwe nzuri kama simu ya laki 5, hapana.
Kuhusu swali lako kuwa zinatoka nchi gani, jibu ni kwamba Xiaomi zinatoka nchini China lakini wanatengeneza simu kwa ajili ya regions tofauti tofauti
Mfano unaweza kukuta kuna Redmi Note 10 ya Indian version, Redmi Note 10 Chinese version, EU version na Global version
Hizi Indian version ni bei rahisi ila zinakuwaga na matatizo mengi ya hardware na hivyo ni vyema kuepuka kununua Xiaomi za Indian version ingawa sio zote ila Xiaomi nyingi zinazoleta matatizo ni hizi za India.
Lakini Xiaomi nyingi zinazokuja Bongo ni Global version na zenyewe ziko poa sana. Xiaomi ni simu nzuri na Redmi ni simu zao za bei rahisi mfano Redmi Note 10 Pro nk.
Most important thing, avoid Indian version
Nina s10 nimeona niweke Microsoft luncher angalau appearance imevutia lakini ui as default ni mbaya. Wachina wamemzidi sanaHakuna UI bora kwenye simu za Android kuliko One UI ya Samsung, hakuna.
Hizo oxygen os, sijui MIUI, color OS sijui nani hazimfikii Samsung.
Ile fluidity ya One UI, mpangilio wa apps, visual impression na mambo mengine mengi haina mfano.
Mkuu samahan naomba kufahamu KWA hio hizi simu za global version hazina shida maana naonaga unakuta hata iphone 15 ipooo global version bei chee (mitandaoni)Hata Redmi 9A ipo vizuri kwenye network, hiyo ya rafiki yako ilikuwa na matatizo labda
Xiaomi anatengeneza simu za bei rahisi, bei ya kati na bei ya juu pia. Usije ukanunua Redmi za laki 2 halafu utegemee eti iwe nzuri kama simu ya laki 5, hapana.
Kuhusu swali lako kuwa zinatoka nchi gani, jibu ni kwamba Xiaomi zinatoka nchini China lakini wanatengeneza simu kwa ajili ya regions tofauti tofauti
Mfano unaweza kukuta kuna Redmi Note 10 ya Indian version, Redmi Note 10 Chinese version, EU version na Global version
Hizi Indian version ni bei rahisi ila zinakuwaga na matatizo mengi ya hardware na hivyo ni vyema kuepuka kununua Xiaomi za Indian version ingawa sio zote ila Xiaomi nyingi zinazoleta matatizo ni hizi za India.
Lakini Xiaomi nyingi zinazokuja Bongo ni Global version na zenyewe ziko poa sana. Xiaomi ni simu nzuri na Redmi ni simu zao za bei rahisi mfano Redmi Note 10 Pro nk.
Most important thing, avoid Indian version