Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Mourinho alimpigia simu klopp kuomba mbinuHii post niliiona tangu jana, lakini sikutaka kuchangia mpaka mpira utakapo isha.
Nikajisemea kimoyomoyo kwamba huyo Mou akitumia mbinu ya Klopp lazima City afe palepale...
Amewasahau Man U ni wazee wa kutibua? Awaulize Asernal walipotaka kuweka rekodi ya mechi 50 bila kufungwa nini kiliwapata!!!Hataariiii sana!Mlitaka kupatia ujiko kwa Man U?Hahahahahaaaa
Wewe Fortaleza kweliHesabu zimekataa kabisa, wengi wanashauku Man City amfunge Man Utd leo katika Manchester Derby ili atwae ubingwa wa EPL.
Leo kwa mara ya kwanza Mourinho akiwa kama kocha wa Man Utd hatofungwa na Man City pale Etihad. Hivyo itawafanya Guardiola na Man City yake kusubiria mpaka wiki ijayo watakapocheza Na Spurs ndio walau wanaweza wakatangaza Ubingwa.
Wazee wa Mikeka nimewapa angalizo, asiyesikia la Mkuu....
Rekodi hazidanganyi: Mourinho hajawahi kuifunga Newcastle ikiwa St. James Park
Povu ruksa...
Tulia wwMourinho alimpigia simu klopp kuomba mbinu
Sitaki !!Tulia ww
HahahahahahaMourinho alimpigia simu klopp kuomba mbinu
Aah ubingwa wakachukulie Toty .. HukooHahahahahaha
Ila sane jana walimuachia sana akimbize mpira japo walijitahidi kumdhibiti.
Na janja Pep Guardiola ni mashambulizi kupitia pembeni, lakini Klopp aliziba njia zote na Shuti Target hata moja hawakupiga.
we unaujua mpira,Hesabu zimekataa kabisa, wengi wanashauku Man City amfunge Man Utd leo katika Manchester Derby ili atwae ubingwa wa EPL.
Leo kwa mara ya kwanza Mourinho akiwa kama kocha wa Man Utd hatofungwa na Man City pale Etihad. Hivyo itawafanya Guardiola na Man City yake kusubiria mpaka wiki ijayo watakapocheza Na Spurs ndio walau wanaweza wakatangaza Ubingwa.
Wazee wa Mikeka nimewapa angalizo, asiyesikia la Mkuu....
Rekodi hazidanganyi: Mourinho hajawahi kuifunga Newcastle ikiwa St. James Park
Povu ruksa...
Pochtinho nakwambia lazima ampe tatu mzuka....Aah ubingwa wakachukulie Toty .. Hukoo
Sure [emoji23] [emoji23] hawez kuonekana ye ndo mzembe .. Aisee pep huu ubingwa anauchukua kwa machungu sana[emoji38] [emoji23] [emoji23]Pochtinho nakwambia lazima ampe tatu mzuka....
Kweli kabisa mkuu...Sure [emoji23] [emoji23] hawez kuonekana ye ndo mzembe .. Aisee pep huu ubingwa anauchukua kwa machungu sana[emoji38] [emoji23] [emoji23]
Subir msimu ujao lazima akimbie .. Watu .. Wana hasira nae sana .. Mcheki Chelsea ... EPL [emoji38]Kweli kabisa mkuu...
Japo msimu huu ana bahati maana timu nyingi ELP zipo ovyo mkuu...
Shabiki gani wewe kamuulize buyern habar za kutangulia na baiskel za udongo wakat mbele kuna mvuaMtoa Mada na Man U yake anafukuza upepo....2nd half lazma Man City waongeze 2 mm ni mshabiki wa Man U lakini hatuchomoki hapa....
Shabiki gani wewe kamuulize buyern habar za kutangulia na baiskel za udongo wakat mbele kuna mvuaMtoa Mada na Man U yake anafukuza upepo....2nd half lazma Man City waongeze 2 mm ni mshabiki wa Man U lakini hatuchomoki hapa....
Hana uwezo wa kumfunga Toty pale wembleyAah ubingwa wakachukulie Toty .. Hukoo