Msitu wa ajabu wenye Maelfu ya Mbuzi wa maajabu wasio na mwenyewe

Luswisi katengele chimetu ngulugulu nsalala ikandana chisyseyse

Ndapwa

Nimeimisi ileje yangu

Hapo short cut unatakiwa uingilie chuo cha magereza au ushirika ndio utafika haraka
 
Hivi hao wataalam wanao lock namna hiyo hawawezi kweli ku lock mali za nchi yetu zisichukuliwe kiholela!
Na hamna wataalamu wa ku unlock watusaidie ku unlock mali za wajerumani ambazo inasemekana zimefungwa kwa code isio fungulika kizazi na kizazi labda wao walio funga?
 
Ina maana hukuchukua hata picha kutushawishi. Anyway ngoja nikajiokotee Mali ya bure nazama na fuso zangu tatu
 
Hata huku mitaa ya Ununio kuna Mbuzi hawana mwenyewe na wanalala katikati ya lami. hawaogopi ndinga wala nini!!
 
Chords zake ni ngumu sana na ni mpaka serikali i initiate mchakato
 
Mkuu hii ni kweli au ni hekaya?

Bila picha tunakuaminije?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…