Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Hahaha karibu mgeni ila uwe tayari kutembea kama ile milima ya upaleniHahaha nikipata sikugaii basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha karibu mgeni ila uwe tayari kutembea kama ile milima ya upaleniHahaha nikipata sikugaii basi
Njoo nikupelekeNa ukashindwa kupiga picha, kweli?
Hahaha huko kwetu mkuu nimekulia huko hivyo ni mtu ambae mila nyingi za huko nazielewa vizr mno chikota kkk lugombo kinyika ikuti lubangalala luswisi mtula sange katengele isoko bupigu ibungu hapo niko songole TatarWewe kweli mndali hapo nyuma Kuna chikumbulu ,chikota na katengele
Picha ndo itanishawishiNjoo nikupeleke
Hiyo kwangu sio shida kabisaHahaha karibu mgeni ila uwe tayari kutembea kama ile milima ya upaleni
Sawa karibu mkuuHiyo kwangu sio shida kabisa
Sawa inabidi uje upige picha mwenyewe maana watu wanahisi huko ni kama mjiniPicha ndo itanishawishi
Sehemu ambayo ukipiga picha haitoki ni bora nisiendeSawa inabidi uje upige picha mwenyewe maana watu wanahisi huko ni kama mjini
Kuna sehemu huwa picha hazitoki
**** mzee mmoja yupo MakambakoSawa inabidi uje upige picha mwenyewe maana watu wanahisi huko ni kama mjini
Kuna sehemu huwa picha hazitoki
usishindane na .com hajui kitu na wala hajui kuna mambo ya mila achana naePicha ndo itanishawishi
nimepita hiyo njia mwezi uliopita iko poa sana sange , kalembo ipasa nyumbani ni nyumbani nakupenda sana na sasa wandugu msihangaike wakati wa kurudi nimepita ya kutokea mbalizi na yenyewe inapita katengele labda uwe na gari fupi lakini ni nzuri sana unapita juu yamilima yoteLuswisi katengele chimetu ngulugulu nsalala ikandana chisyseyse
Ndapwa
Nimeimisi ileje yangu
Hapo short cut unatakiwa uingilie chuo cha magereza au ushirika ndio utafika haraka
Hahaha sawaSehemu ambayo ukipiga picha haitoki ni bora nisiende
Karibu tena mkuu mi nipo hapa.........nimepita hiyo njia mwezi uliopita iko poa sana sange , kalembo ipasa nyumbani ni nyumbani nakupenda sana na sasa wandugu msihangaike wakati wa kurudi nimepita ya kutokea mbalizi na yenyewe inapita katengele labda uwe na gari fupi lakini ni nzuri sana unapita juu yamilima yote
Hahaha wakinga kwenye idara ya uchawi wapo vizr**** mzee mmoja yupo Makambako
Ana 'mkweche' wake tani 7 lakini hata akiwa ana mzigo hapimi pale mizani.
Akipima tu, mzani unaharibika kwa siku kadhaa...
Walimbishia siku ya kwanza wakapata shughuli...
Pia huwa hapigwi picha
Wakati wa kujiandikisha kupiga kura aliwatahadharisha wahusika kuwa yeye hapigwi picha, akipgwa camera itaharibika...
Baada ya ubishani na shauku wakapiga , lakini picha haikutoka wala camera haikufanya kazi tena, zikaharibika camera nyingine mbili baada ya kulazimisha tena, lakini mzee wa watu alikuwa akiwaasa wasimpige picha.
Mytake:-
Haya mambo yapo,
Nimezunguka sana Tanzania hii na nimeona mengi.
OMG fahari tenKafara kubwa hilo yakhe hivyo havitoshi kunahitajika kuangusha fahari mmoja hapo