Msituite kwenye Interview (Usajili) kama mshaandaa majina mtakaowapa kazi

Msituite kwenye Interview (Usajili) kama mshaandaa majina mtakaowapa kazi

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Wengi tunatumia pesa na gharama kubwa kwenda kwenye Interview na tunaambulia patupu kwakuwa Kuna majina ya watu wenye connection zao tayari yapo

Tunaenda kwenye Interview kupigania kitu ambacho hakipo kitu ambacho tayari kilishakwisha ila ni geresha tu

Beautiful country some people Wana destroy

Mungu tuone sisi watoto wa masikini tuliyosomeshwa Kwa shida ili kuja kuzikomboa familia zetu kutoka kwenye masikini na Bado tunataabika mitaani bila sababu
 
Umenikumbusha weekend nilikua interview Taasisi fulani hivi, kabla sijapita kwa mkapa kuangalia makolo. HR anatabasamu kama atanipa kazi vile 😄

Yote kwa yote ni muhimu kua positive kwa kila kitu tunapitia maishani. Kwa sababu ukweli ni kwamba hatuwadai chochote hao waajiri.

😏
 
Wengi tunatumia pesa na gharama kubwa kwenda kwenye Interview na tunaambulia patupu kwakuwa Kuna majina ya watu wenye connection zao tayari yapo

Tunaenda kwenye Interview kupigania kitu ambacho hakipo kitu ambacho tayari kilishakwisha ila ni geresha tu

Beautiful country some people Wana destroy

Mungu tuone sisi watoto wa masikini tuliyosomeshwa Kwa shida ili kuja kuzikomboa familia zetu kutoka kwenye masikini na Bado tunataabika mitaani bila sababu
Unazungumzia Interview za Private sector, NGO au hizi za Serikali kupitia Sekretarieti ya Ajira?
 
Wengi tunatumia pesa na gharama kubwa kwenda kwenye Interview na tunaambulia patupu kwakuwa Kuna majina ya watu wenye connection zao tayari yapo

Tunaenda kwenye Interview kupigania kitu ambacho hakipo kitu ambacho tayari kilishakwisha ila ni geresha tu

Beautiful country some people Wana destroy

Mungu tuone sisi watoto wa masikini tuliyosomeshwa Kwa shida ili kuja kuzikomboa familia zetu kutoka kwenye masikini na Bado tunataabika mitaani bila sababu
 

Attachments

  • IMG-20240806-WA0000.jpg
    IMG-20240806-WA0000.jpg
    292.1 KB · Views: 8
Back
Top Bottom