Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora ukae kimya,sio ushauri WA kipumbabu kama huu,unadhani mambo ni rahisi hivyo !? Unafamilia unajitoleaje!? Mfano ni mwalimu anapata wapi connection unazosema hapa!?Tafuta sehemu ya kujitolea Kisha onyesha uwezo, nafasi ikitokea nakuhakikishia itakuwa yako au na wewe utapewa koneksheni kuingia kundi la wateule.
Bora mama Samia Mara million,anatoa ajira kila siku.Chance ya kupata ajira iko juuAngalau kipindi cha Jiwe maskini wangeweza kubahatisha hizo ajira ila chini ya huyu chura kiziwi sahauni!
Njoo huku kuna kaziMkuu acha tu..
Yanayotukuta hata sisi watu wa field
Wapi nikujeNjoo huku kuna kazi
Just study hard! Utumishi are so fair you will get what you deserve…just get prepare don listen to rumors…..!Wengi tunatumia pesa na gharama kubwa kwenda kwenye Interview na tunaambulia patupu kwakuwa Kuna majina ya watu wenye connection zao tayari yapo
Tunaenda kwenye Interview kupigania kitu ambacho hakipo kitu ambacho tayari kilishakwisha ila ni geresha tu
Beautiful country some people Wana destroy
Mungu tuone sisi watoto wa masikini tuliyosomeshwa Kwa shida ili kuja kuzikomboa familia zetu kutoka kwenye masikini na Bado tunataabika mitaani bila sababu
Wapi huko...Njoo huku kuna kazi
Mbona unakaba mpaka koo 😂😂😂Wapi nikuje
Huu ni uongo kamili.Angalau kipindi cha Jiwe maskini wangeweza kubahatisha hizo ajira ila chini ya huyu chura kiziwi sahauni!
Akili sijui mnazipelekaga wapiAngalau kipindi cha Jiwe maskini wangeweza kubahatisha hizo ajira ila chini ya huyu chura kiziwi sahauni!