Msituweke kwenye Magroup ya Mchango wa Harusi na Sendoff bila ridhaa yetu!

Msituweke kwenye Magroup ya Mchango wa Harusi na Sendoff bila ridhaa yetu!

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Kumekuwa na tabia ya watu wamepanga kuoa na kuolewa kuomba michango. Tabia hiyo imekuwa zaidi miaka ya karibuni kama mtu ana namba yako anaunda group na kukuingiza huko.

Wanaopinga michango:
  1. Hawa ni wale ambao hawajaolewa, umri umeenda na wamekata tamaa hivyo hawapo tayari kuona wenzao wanachukuliwa.
  2. Waislam wanaofanyia harusi nyumbani, tofauti na wakristo wanafanyia ukumbini,
Wanaounga mkono:
  1. Watoaji, wasio na uchoyo na wenye upendo.
  2. Wakristo (wengi wao) wanapenda kuchanga na kushiriki
My take:- Fanya jambo roho yako inakutuma, changa usichange, pinga usipinge kama unapenda.
 
kutoa mchango
  • Ni moyo na kuwiwa
  • Ni uungwana na ujamaa
...
Kutoa mchango
  • Sio utajiri unaweza kuwa nacho na usitoe
  • Sio deni hutadaiwa usipotoa
  • Sio lazima hulazimishwi ila unasisitizwa/kuombwa mchango
NB: Sipendi kuungwa kwenye magroup bila taarifa/ridhaa yangu
 
Nikosa kumchangisha muhalikwa ....katika harusi kuna waalikwa na waalika tatizo mnachangisha waalikwa ...mualikwa anatakiwa kutumia bure kila kitu labda atowe zawadi tu tena bila kulazimishwa ...
 
unapotaka kuoa/kuolewa jipange, michango iwe ziada tu ili kupunguza lawama kwa watu.
Sherehe harusi ni watu , ndio maana utaona hata Wlfred tarimo, bilionea pale Moshi wana harusi ya binti yake na alikusanya michango kwa marafiki zake, harusi ilikuwa milioni 300 lakini alikusanya , so kwamba hana hela bali ni upendo.

Maskini hawapendi ushirika.
Marekani ianchangia nchi maskini, nchi maskjini zinanunua magoli ila huwa haizsaidii.
 
Nikosa kumchangisha muhalikwa ....katika harusi kuna waalikwa na waalika tatizo mnachangisha waalikwa ...mualikwa anatakiwa kutumia bure kila kitu labda atowe zawadi tu tena bila kulazimishwa ...
Ukiachanga ndio unaalikwa
Hata skolaship lazma uombe na uchangie visa ili waone upo serios.
 
Back
Top Bottom