Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 815
- 1,558
Uko sawa mkuu unashika simu unakuta unread whatsapp msgs 328, unajiuliza nn hikii
MSITUUNGE KWENYE MAGROUP KIHOLELA
MSITUUNGE KWENYE MAGROUP KIHOLELA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulipata kiben 10 mkuu??Kumuweka mtu kwenye group bila kumjulisha kwanza au kuomba ridhaa yake ni kukosa ustaarabu 🚮🚮🚮
ushawahi kujiuliza kwanini ndege wafananao huruka pamoja?Sherehe harusi ni watu , ndio maana utaona hata Wlfred tarimo, bilionea pale Moshi wana harusi ya binti yake na alikusanya michango kwa marafiki zake, harusi ilikuwa milioni 300 lakini alikusanya , so kwamba hana hela bali ni upendo.
Maskini hawapendi ushirika.
Marekani ianchangia nchi maskini, nchi maskjini zinanunua magoli ila huwa haizsaidii.
Mbona utatoa sana michango ngoja ifike zamu ya watu wako wa karibu.Mtu asiniweke kwenye group Hadi aombe ridhaa yangu .
Yes boss, ndiyo maana unaona niko kimya napelekewa 🔥🔥🔥💦 tu!Ulipata kiben 10 mkuu??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiwekwa kwenye hizo group wewe andika tu KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI wenyewe watakuondoa[emoji209]
Shangazii nawee hutaki kutoa mchango. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mtu asiniweke kwenye group Hadi aombe ridhaa yangu .
Unajipanga vipi?unapotaka kuoa/kuolewa jipange, michango iwe ziada tu ili kupunguza lawama kwa watu.
NDIO, nakuelewa sasa.ushawahi kujiuliza kwanini ndege wafananao huruka pamoja?
Watasema Bundi weweUkiwekwa kwenye hizo group wewe andika tu KATAA NDOA, NDOA NI UTAPELI wenyewe watakuondoa🐼
hufikiri labda ni roho ya uchoyo na umaskini?Kuna jamaa yangu alinielekeza hauwezi kuungwa kwenye group lolote la WhatsApp bila ridhaa yako, mtu akitaka kukuunga hawezi ila inakuja link ambayo wewe mwenyewe utakuwa na maamuzi ujiunge au lah.
unataka uombwe ridhaa kama hauna hiyo ridhaa je..?Mtu asiniweke kwenye group Hadi aombe ridhaa yangu .
% m ni kubwa sana .Watu wafanye harusi kwa kadri ya uwezo walionao sio kutaka harusi ya kifahari kwa kutegemea michango ya ndugu, jamaa na marafiki huo ni ukichaa.
Mathalani kuna kikao cha harusi ya jirani hapa bajeti ni 30M kikao cha kwanza bwana harusi na ndugu zake sio wametoa ni jumla ya ahadi yao ni 5M tu.
Ina maana harusi yake itategemea michango yetu tu.