Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
KAMA BILA MCHANGO WANGU HUWEZI KUOA AMA KUOLEEWA NAKUSIHII TU USIOE AMA KUOLEWA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mheshimiwa jaji punguza hasira, hii inasaidia kupunguza usumbufu ila ukitaka kuniunga niulize kama niko tayari nitumie link nijiunge mwenyewehufikiri labda ni roho ya uchoyo na umaskini?
hufikiri kuwa Mungu ametufweka tufaidiane?
USA angegomea condom zake mngeweza kumudu bei ya soko
USA angegome p2 mngeweza kuzaa hao watoto mnaoua kila uchao kwa kutoa mimba?
Unaona ni sawa 42M halafu familia itoe 2M..?% m ni kubwa sana .
Vikaoa vingi nilivyoshiriki ndugu na wazzi wakichanga wanafika 2 m na mchango wa mwisho alipata 42 milion.
Kama huna roho ya kutoa wengine wana roho ya utoaji
na ndio maisha hayo.Unaona ni sawa 42M halafu familia itoe 2M..?
Huko ni kuingiza wanandoa kwenye chain ya michango ya harusi.
Leo kashapiga vingapi had sahii?Yes boss, ndiyo maana unaona niko kimya napelekewa 🔥🔥🔥💦 tu!
Kwahiyo kwa kifupi, wanaopinga wana vinyongo na husda.kutoa mchango
...
- Ni moyo na kuwiwa
- Ni uungwana na ujamaa
Kutoa mchango
NB: Sipendi kuungwa kwenye magroup bila taarifa/ridhaa yangu
- Sio utajiri unaweza kuwa nacho na usitoe
- Sio deni hutadaiwa usipotoa
- Sio lazima hulazimishwi ila unasisitizwa/kuombwa mchango
swadakta!Kwahiyo kwa kifupi, wanaopinga wana vinyongo na husda.
Yani elayangu alafu asiombe ridhaa ya kuniunga group aah sitaki naleftunataka uombwe ridhaa kama hauna hiyo ridhaa je..?
swala sio hela swala ni hiyo ridhaa unayotaka kuombwa unayo..??Yani elayangu alafu asiombe ridhaa ya kuniunga group aah sitaki naleft
Aunt mm natoa sana tu lakin watu wanadai balaa utasema ni deni 😂😂hiyo ndo sitaki sasaShangazii nawee hutaki kutoa mchango. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninayo dearswala sio hela swala ni hiyo ridhaa unayotaka kuombwa unayo..??
Kama unayo naiomba namimi nashida nayo!Ninayo dear View attachment 3223578
Njoo chukue😀Kama unayo naiomba namimi nashida nayo!
Nije wapi..?Njoo chukue😀
NyumbaniNije wapi..?
Mh! leta ramani yakufika nyumbani kwenuNyumbani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hii hata mie siitaki.Aunt mm natoa sana tu lakin watu wanadai balaa utasema ni deni [emoji23][emoji23]hiyo ndo sitaki sasa