Msiwalaumu kina Zari,Wolper,Wema,Shilole,, kuhusu dogodogo

Msiwalaumu kina Zari,Wolper,Wema,Shilole,, kuhusu dogodogo

Mh!sasa mbona mnatuchanganya wengine jua wengine mvua!

Mleta mada anasifia watoto ila wewe unasema hawajui kitu,sasa tumuamini nani?
Kila mtu na akipendacho. Yaani mi nafurahi zaidi mwanaume anizidi kama 10 yrs hivi, asiwe na kitambi, mwenye miguvu yake..anikunje nikunjike!
 
Ni mtanzamo zamo wadau.....mi naona yupo sawa.
 
Nonsense thread,In life we have a lot to do before death and sex and pleasure is just a part of it but we shouldn't think of sex most of our time ,,,,,,,,,
 
Wengi husema na kulaumu kuwa eti hawa wanawake hutembea na wanaume wadogo mfano
Zarina na daimond
Wolper-harmonize
Wema-idris
Shilole-nuhu
Hawa wamewazidi wapenzi wao miaka mingi mfano zari anamzidi daimond kama miaka 10 au zaidi
Nilichogundua ni hivi sio wao tu kina zari hata kina mama wakubwa hupenda vitoto kwa sababu eti vinajua sana mapenzi yaan havina utani katika swala la ngono tunasugua haswa na kuhakikisha kila angle ya mwili imelegea halaf havichokii,,,tofauti na hawa wakubwa kimoja tu hoi na wanasingizia eti ooh haya mambo tushayazoea wakati kumbe nguvu zishaisha
Kiukweli hivi vitoto vinapanda mlima haswaa 25 kushuka chin mpaka 18 ni balaa ati,so tusiwalaumu ni utamu tu
Mond ni wa 88, so technically ana 29.
 
100% WAMAMA WANAPENDA SANA KUKAZWA SIKUHIZI, VIJANA NAO HAWAPAKI RANGI KWENYE 6*6 SHOW SHOW
 
100% WAMAMA WANAPENDA SANA KUKAZWA SIKUHIZI, VIJANA NAO HAWAPAKI RANGI KWENYE 6*6 SHOW SHOW
Binafsi navyozidi kukua, nakuwa imara zaidi sababu ya uzoefu, enzi nikiwa dogo, hasa 18 - 24 nilikuwa nikichomeka tu hisia zinakuwa kali mno nakojoa hapo hapo.
 
Binafsi navyozidi kukua, nakuwa imara zaidi sababu ya uzoefu, enzi nikiwa dogo, hasa 18 - 24 nilikuwa nikichomeka tu hisia zinakuwa kali mno nakojoa hapo hapo.

IYO NI KWELI KUTOKANA NA AINA YA MAISHA UNAYOISHI ILA SIO KWA MIAKA HII YA UZUNGU MWINGI NDIO MANA MASHUGA MAMI KIBAO, % KUBWA YA VILIO VYA KINAMAMA NI KUWA HAWAFIKISHWI KILIMANI NA WENZA WAO
 
Ni kweli kabisa maana kuna mdada haniachi hata kama anaishi na bwana. .Niliwahi kuleta mada hapa na nikashauriwa nimuache lakini mpaka Leo ananiganda et kisa MKUYATI
 
Back
Top Bottom