Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

And the author refers those words in red as 'caring'! So, to a woman caring is all about money!!

tell them all..

tukisema vijana wanasema twawaumiza vichwa!

mkuu usiposaka pesa ujanani mwako, itakula kote kote!

dadeki, yani sasa hivi tunaoa product ambazo ni second hand tu! wala hiyo haina kipingamizi!
 
sasa unaenjoy nn hapo? bora mtupe sisi vijana tunaoisimamia mpaka inapata moto,unakunwa kisawasawa

akuuuu!!nyie bakini
na vifanyio vyenu mvipeleke
kwny maonyesho.habari ya mjini vibabu!!
 
Vibabu vinawafanya muwe wavivu maana mnakuwa mmezoea kukosa hamu mda mrefu mkiolewa mnashindwa ndoa zenu kwa sababu ya kusinyaa papuchi kwa muda mrefu. Huku wakati vibabu vinatafuta joto nyie vinawaamishia unyafuzi.
 
sasa mkiliuza siku akilitaka kuliona mtamwambiaje..?

Hawa vibabu wana akili kuliko unavyodhani. Bidada huwa anapewa funguo na nakala ya kadi. Hawatoi kadi halisi, ili mambo yakigeuka basi mzee anachukua gari lake. Hawawezi kuwa risk-takers kiasi hicho.
 
Vibabu vinawafanya muwe wavivu maana mnakuwa mmezoea kukosa hamu mda mrefu mkiolewa mnashindwa ndoa zenu kwa sababu ya kusinyaa papuchi kwa muda mrefu. Huku wakati vibabu vinatafuta joto nyie vinawaamishia unyafuzi.
hivi kumbe papuchi ikikaa mda mrefu bila mushkeli inasinyaaa???
 
Limeibiwa, anaenda kutoa tigo anapewa jingine
hiyo kali..,na baada ya kutoa tigo mnaliuza tena ili mmaximize capital yenu..,halafu mtakuja na story gani nyingne...,usije ukahitajika na wewe mwanaume ukatoe service ku-compensate costs..,chunga sana!!!
 
hiyo kali..,na baada ya kutoa tigo mnaliuza tena ili mmaximize capital yenu..,halafu mtakuja na story gani nyingne...,usije ukahitajika na wewe mwanaume ukatoe service ku-compensate costs..,chunga sana!!!

Hakuna kitu kama hiko, unamtumia huyo demu kama chambo

Mkeo sio ndugu yako kumbuka
 
nina dada yangu ameolewa na ana watoto ana kizee chake kimoja hivi ni bosi wa machimbo merelani arusha kizee kina familia yake kubwa tu kimemsomesha chuo miaka 3 na mwaka huu anamaliza anahudumiwa kila kitu asee kushika mamilioni kwake ni kawaida tu anaeza enda town na laki 4 akirudi hana hata sent cha maana alichofanyia hakionekani kesho anapewa tena na walianza zamani tu tour za nje kwake kawaida sanaaa duh!!

story nzuri but lets be honest do u real think u knw dada yako anampa nn mheshimiwa?
tunaweza kufikiria kila kitu ila respect pia ni mojawapo
dadako anahonga vijana wampe uhai wa kitandani posible but when kizee comes no disrespect
plus unadhani mke wa huyo mheshimiwa anachoma pesa ngap a day?
kikubwa cha kujiuliza ngoma ni pale mwanamke atakapotamani kuolewa as your sisy how hard it is
 
presha itakupanda bure kufuatilia ya wanawake
Nafanya ntakacho sio unachotaka ww. hiyo nyokoo narudisha kwako nyolooooooooo.o!!!

nikufuatilie kisa?
kwani hii topic mliwaandikia wanawake?
au specified member?
hamna kiburi hcho hzo nyodo tu na maisha ya kuigiza utadhani wazazi wenu wamewasomesha mje kuishi kwa tamaa
 
Back
Top Bottom