Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
And the author refers those words in red as 'caring'! So, to a woman caring is all about money!!
sasa unaenjoy nn hapo? bora mtupe sisi vijana tunaoisimamia mpaka inapata moto,unakunwa kisawasawa
​ngawira babu weeeeeI meant unafurahia mpododo wa kupigwa moja tu
​ngawira babu weeeee
Miss u much luv sisy....
i.... I... I. Hi!
Sio mnaliuza mnapata mtaji wa kufungua biashara?
sasa mkiliuza siku akilitaka kuliona mtamwambiaje..?
N..N... nimekumiss jamani!
mzima ?
​genye haijalishi wewe!!Ngawira lkn unalala na genye zako....hehehehe
​genye haijalishi wewe!!
sasa mkiliuza siku akilitaka kuliona mtamwambiaje..?
hivi kumbe papuchi ikikaa mda mrefu bila mushkeli inasinyaaa???Vibabu vinawafanya muwe wavivu maana mnakuwa mmezoea kukosa hamu mda mrefu mkiolewa mnashindwa ndoa zenu kwa sababu ya kusinyaa papuchi kwa muda mrefu. Huku wakati vibabu vinatafuta joto nyie vinawaamishia unyafuzi.
hiyo kali..,na baada ya kutoa tigo mnaliuza tena ili mmaximize capital yenu..,halafu mtakuja na story gani nyingne...,usije ukahitajika na wewe mwanaume ukatoe service ku-compensate costs..,chunga sana!!!Limeibiwa, anaenda kutoa tigo anapewa jingine
hiyo kali..,na baada ya kutoa tigo mnaliuza tena ili mmaximize capital yenu..,halafu mtakuja na story gani nyingne...,usije ukahitajika na wewe mwanaume ukatoe service ku-compensate costs..,chunga sana!!!
nina dada yangu ameolewa na ana watoto ana kizee chake kimoja hivi ni bosi wa machimbo merelani arusha kizee kina familia yake kubwa tu kimemsomesha chuo miaka 3 na mwaka huu anamaliza anahudumiwa kila kitu asee kushika mamilioni kwake ni kawaida tu anaeza enda town na laki 4 akirudi hana hata sent cha maana alichofanyia hakionekani kesho anapewa tena na walianza zamani tu tour za nje kwake kawaida sanaaa duh!!
presha itakupanda bure kufuatilia ya wanawake
Nafanya ntakacho sio unachotaka ww. hiyo nyokoo narudisha kwako nyolooooooooo.o!!!