Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

Msiwalaumu wadada kutembea na wazee

akija kukufia kiunoni Ndio utajua ....
Kiongozi wengine wanakua wagonjwa tayari visukari, presha n.k

Wanatafuta sababu ya kupewa kesi ya mauaji na hapa kwetu bongo linapokuja swala la uchunguzi tuko nyuma sana lazima usote sana lupango,

tena kama mwenye damu ya kunguni unaweza pakaziwa ulimuua sababu ya pesa zake
 
Naam wazee wanajua ku care kwa gharama za familia zao.Unakuta wake mke kachakaa kwa maisha magumu.
 
hela inayopatikana bila ya jasho ndiyo maana haionei chungu ...
 
Yani mi nitoke kwenye interview ya watu elfu 11 halafu bado unipigie unataka laki 2 ya saluni? aisee patachimbika...

hao wazee mnaowakumbatia kwa sifa za mgongo wa chupa kumbuka nao walikuwa vijana kama sie..

Tumia ujana wako vzr ufaidi uzee wako bdae.
 
Atakuwa alikuwa anaongea na lara 1

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwa kwelii kwa halii hiyo wazeee watawanyang'anyeni videmu vyenu
 
Nimepanda lift kwenye moja ya jengo maarufu na refu hapa mjinikati karibu na Ohio st.
Niko ndani ya lift mzee mmoja smart anongea na simu kwa sauti ya maringo , upole na yenye kujiamini, kulikua kimya hivyo unasikia kabisa upande wa pili ni sauti ya kasichana... mazungumzo yalikua hivi.
Mzee.- What do you mean..i've told you before not to worry it is within my capability.
usichukue gari ya chini, chagu landcruiser au yoyote ya juu.
Mdada.- '............. .... ....... ..... ........ ........ .... ............
Mzee. - Ok no problem, njoo sasa ivi uchukue cheque kwa ajili ya kuwalipa NSSF .. niliongea namkurugenzi wake akanipromse a nice location for your appartment.... anyway we njoo ukifika go to reception i have already reserve a place....just wait me in the room nina kikao na waziri nikimaliza nakuja....
Niliwai kufika nikatoka liftini nikamuacha bado anaongea..... kwa kweli niliona hamna sababu ya kuwasema wadada wanaotembea na wazee... this dudes knows how to care jamani.

Atakuwa alikuwa anaongea na Evelyn Salt maana huyu binti Kwa kupenda pesa ni balaa uta dhana alizaliwa mwezi wa bajeti.
 
Back
Top Bottom