GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Mfunge kambaAmkeniiiiiii jamaniiiiii yule aliyetoroka Mirembe ameonekana Kawe
Dah kumbe ile story ni yeye mwenyewe?[emoji1787][emoji1787]Wewe Popoma mimi nachangia mada humu jukwaani. Sasa wewe ni nani mpaka unipangie? Umefikia hatua unaniogopa sana eeeh!!!
Au unafikiri hili jukwaa ni la yule mbabe wako muuza mihogo maarufu wa soko la Kawe (Cherehani) aliyekufyeka sikio na vidole vya mkono wako wa kushoto?
Vipi mwamba mbona mayowe mengi😂Alipokuwa ana kila dalili za Kutua Kwenu huyu Fabrice Ngoma mlikuwa mkimsifia sana katika Kurasa zenu, Watangazaji na Wachambuzi wenu leo hii mmemkosa kwa Kunyang'anywa Tonge Mdomoni Kimafia na Wakali wa Umafia Tanzania Simba SC na atachezea Simba SC mmebadilika na mnaanza Kumkandia.
Wanafiki wakubwa nyie na nina Taarifa kuwa Fiston Mayele hawataki na anataka Kuondoka zake ila mnampigia Magoti Kutwa huku mkimlamba Miguu asiondoke mpaka Kawachoka na kawazimieni kabisa na Simu sasa.
Wapuuzi Wakubwa nyie. Na bado..!!
Ukiunganisha dots utagundua tu alikuwa ni yeye. Maana kabla ya hapo alishakuja na uzi wa kujisifia kutembea na wake za watu wanaoshindwa marejesho ya vicoba.Dah kumbe ile story ni yeye mwenyewe?[emoji1787][emoji1787]
Mwana mbumbumbu FC, a.k.a kolo, ak.a Ngada FC at his bestAlipokuwa ana kila dalili za Kutua Kwenu huyu Fabrice Ngoma mlikuwa mkimsifia sana katika Kurasa zenu, Watangazaji na Wachambuzi wenu leo hii mmemkosa kwa Kunyang'anywa Tonge Mdomoni Kimafia na Wakali wa Umafia Tanzania Simba SC na atachezea Simba SC mmebadilika na mnaanza Kumkandia.
Wanafiki wakubwa nyie na nina Taarifa kuwa Fiston Mayele hawataki na anataka Kuondoka zake ila mnampigia Magoti Kutwa huku mkimlamba Miguu asiondoke mpaka Kawachoka na kawazimieni kabisa na Simu sasa.
Wapuuzi Wakubwa nyie. Na bado..!!
Naona Ngoma Kawa kombe lenu,hongeraAlipokuwa ana kila dalili za Kutua Kwenu huyu Fabrice Ngoma mlikuwa mkimsifia sana katika Kurasa zenu, Watangazaji na Wachambuzi wenu leo hii mmemkosa kwa Kunyang'anywa Tonge Mdomoni Kimafia na Wakali wa Umafia Tanzania Simba SC na atachezea Simba SC mmebadilika na mnaanza Kumkandia.
Wanafiki wakubwa nyie na nina Taarifa kuwa Fiston Mayele hawataki na anataka Kuondoka zake ila mnampigia Magoti Kutwa huku mkimlamba Miguu asiondoke mpaka Kawachoka na kawazimieni kabisa na Simu sasa.
Wapuuzi Wakubwa nyie. Na bado..!!
hii issue imenipita na sijui chochote ni bora niwe kimya tuAlipokuwa ana kila dalili za Kutua Kwenu huyu Fabrice Ngoma mlikuwa mkimsifia sana katika Kurasa zenu, Watangazaji na Wachambuzi wenu leo hii mmemkosa kwa Kunyang'anywa Tonge Mdomoni Kimafia na Wakali wa Umafia Tanzania Simba SC na atachezea Simba SC mmebadilika na mnaanza Kumkandia.
Wanafiki wakubwa nyie na nina Taarifa kuwa Fiston Mayele hawataki na anataka Kuondoka zake ila mnampigia Magoti Kutwa huku mkimlamba Miguu asiondoke mpaka Kawachoka na kawazimieni kabisa na Simu sasa.
Wapuuzi Wakubwa nyie. Na bado..!!
Nasikia 'alishakuweka' sana 'Unyabengani' Kwako na 'Unamhusudu' kweli kweli.Wewe Popoma mimi nachangia mada humu jukwaani. Sasa wewe ni nani mpaka unipangie? Umefikia hatua unaniogopa sana eeeh!!!
Au unafikiri hili jukwaa ni la yule mbabe wako muuza mihogo maarufu wa soko la Kawe (Cherehani) aliyekufyeka sikio na vidole vya mkono wako wa kushoto?
Vipi ikiwa mimi ndiyo Mzee Cherehani mwenyewe niliyekufyeka vidole na sikio?Nasikia 'alishakuweka' sana 'Unyabengani' Kwako na 'Unamhusudu' kweli kweli.
za ndani nilizoziskia kuhusu Ngoma na kutekwa kwake airport,nimeamini Makolo ni kama braza K a.k.a WAKUKULUPUKA,wanafosi kufanya vitu kuwafurahisha mashabiki zao baada ya aka mbili kupita bila hata kikombe cha chai,lkn msimu huu wanalia tena.Nasikia 'alishakuweka' sana 'Unyabengani' Kwako na 'Unamhusudu' kweli kweli.
Nasikia 'alishakuweka' sana 'Unyabengani' Kwako na 'Unamhusudu' kweli kweli.Vipi ikiwa mimi ndiyo Mzee Cherehani mwenyewe niliyekufyeka vidole na sikio?
Liangalie na hili Juha nalo.za ndani nilizoziskia kuhusu Ngoma na kutekwa kwake airport,nimeamini Makolo ni kama braza K a.k.a WAKUKULUPUKA,wanafosi kufanya vitu kuwafurahisha mashabiki zao baada ya aka mbili kupita bila hata kikombe cha chai,lkn msimu huu wanalia tena.