Msizuge! mmeumia sana Ngoma kuja Simba SC na Mayele anataka Kuondoka acheni Kumpigia Magoti yenu

Msizuge! mmeumia sana Ngoma kuja Simba SC na Mayele anataka Kuondoka acheni Kumpigia Magoti yenu

Ukiunganisha dots utagundua tu alikuwa ni yeye. Maana kabla ya hapo alishakuja na uzi wa kujisifia kutembea na wake za watu wanaoshindwa marejesho ya vicoba.
Ukiunganisha dots utagundua tu alikuwa ni yeye. Maana kabla ya hapo alishakuja na uzi wa kujisifia kutembea na wake za watu wanaoshindwa marejesho ya vicoba.
Wangemlawiti kabisa
 
Ukisoma replies za wanayanga unaona kabisa wanamaumivu makali wanareply kwa hasira sana
 
Halafu Gongowazi kwanini mchezaji wakimshindwa wanaponda mara injury bhah bhah kibao lakini wao wakipora mchezaji wanajiona wanjanja..! Nonsense.
Na wewe sifia chako mkuu
 
Alipokuwa ana kila dalili za Kutua Kwenu huyu Fabrice Ngoma mlikuwa mkimsifia sana katika Kurasa zenu, Watangazaji na Wachambuzi wenu leo hii mmemkosa kwa Kunyang'anywa Tonge Mdomoni Kimafia na Wakali wa Umafia Tanzania Simba SC na atachezea Simba SC mmebadilika na mnaanza Kumkandia.

Wanafiki wakubwa nyie na nina Taarifa kuwa Fiston Mayele hawataki na anataka Kuondoka zake ila mnampigia Magoti Kutwa huku mkimlamba Miguu asiondoke mpaka Kawachoka na kawazimieni kabisa na Simu sasa.

Wapuuzi Wakubwa nyie. Na bado..!!
Simba inafeli kwenye mambo kama haya
 
Hii issue ya kupokonyana wachezaji ilikua zamani kidogo lakini mifumo ya uendeshaji wa team zetu umebadilikka siku hz wanaendesha soka vzr
 
Huyo Cherehani alimpa options mbili (kwa maelezo yake yeye mwenyewe)! Kumkata masikio na vidole vya mkono, au kumpopobawa! Popoma akaona bora apoteze tu viungo vya mwili
Alitoa kunduchi
Huoni anavyo bwabwaja na kujamba ovyo jukwaani
 
Huyo Cherehani alimpa options mbili (kwa maelezo yake yeye mwenyewe)! Kumkata masikio na vidole vya mkono, au kumpopobawa! Popoma akaona bora apoteze tu viungo vya mwili
Nimemvua vyeo popoma,siyo charismatic intelligent fella Tena,kakubali kupoteza sikio na vidole badala ya kutega aingize kichwa tu!?
 
Back
Top Bottom