dem boy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2016
- 6,580
- 15,739
mnatia huruma mapema sana...Liangalie na hili Juha nalo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnatia huruma mapema sana...Liangalie na hili Juha nalo.
I'm both Authoritative, Credible and Reliable Source of Information for any Story in and outside Tanzania.Do you have reliable source of informations????
Na East African Genius GENTAMIYCINE.Think tank la watu wa musoma Mara
Hopeless.According to u??
To me ur shallow in football.
And u know nothing about football men.
Gives us a feedback about fabrice ngoma..
hana rungu kwel.......Mfunge kamba
Ukiunganisha dots utagundua tu alikuwa ni yeye. Maana kabla ya hapo alishakuja na uzi wa kujisifia kutembea na wake za watu wanaoshindwa marejesho ya vicoba.
Wangemlawiti kabisaUkiunganisha dots utagundua tu alikuwa ni yeye. Maana kabla ya hapo alishakuja na uzi wa kujisifia kutembea na wake za watu wanaoshindwa marejesho ya vicoba.
Na wewe sifia chako mkuuHalafu Gongowazi kwanini mchezaji wakimshindwa wanaponda mara injury bhah bhah kibao lakini wao wakipora mchezaji wanajiona wanjanja..! Nonsense.
Simba inafeli kwenye mambo kama hayaAlipokuwa ana kila dalili za Kutua Kwenu huyu Fabrice Ngoma mlikuwa mkimsifia sana katika Kurasa zenu, Watangazaji na Wachambuzi wenu leo hii mmemkosa kwa Kunyang'anywa Tonge Mdomoni Kimafia na Wakali wa Umafia Tanzania Simba SC na atachezea Simba SC mmebadilika na mnaanza Kumkandia.
Wanafiki wakubwa nyie na nina Taarifa kuwa Fiston Mayele hawataki na anataka Kuondoka zake ila mnampigia Magoti Kutwa huku mkimlamba Miguu asiondoke mpaka Kawachoka na kawazimieni kabisa na Simu sasa.
Wapuuzi Wakubwa nyie. Na bado..!!
Labda kwa.tigo PESA,,yote katika yote Yanga bingwa tena 2023-2024
Huyo Cherehani alimpa options mbili (kwa maelezo yake yeye mwenyewe)! Kumkata masikio na vidole vya mkono, au kumpopobawa! Popoma akaona bora apoteze tu viungo vya mwiliWangemlawiti kabisa
Alitoa kunduchiHuyo Cherehani alimpa options mbili (kwa maelezo yake yeye mwenyewe)! Kumkata masikio na vidole vya mkono, au kumpopobawa! Popoma akaona bora apoteze tu viungo vya mwili
Nimemvua vyeo popoma,siyo charismatic intelligent fella Tena,kakubali kupoteza sikio na vidole badala ya kutega aingize kichwa tu!?Huyo Cherehani alimpa options mbili (kwa maelezo yake yeye mwenyewe)! Kumkata masikio na vidole vya mkono, au kumpopobawa! Popoma akaona bora apoteze tu viungo vya mwili
🤣🤣🤣🤣🤣Amkeniiiiiii jamaniiiiii yule aliyetoroka Mirembe ameonekana Kawe
Yanga bingwa ASFCLabda kwa.tigo PESA,,
Na Si uwezo