Mada yako haina maana hata. Kidogo mkuu kajipange hayo ni makosa ni kawaida tuu
Makosa ya kawaida ni yale ya typing error ila hayo makosa ni yanaonesha in jinsi gani msomi huyo haijui lugha yake ya kiswahili na hili ni tatizo kwa watu wengi sana hasa hasa waswahili wa dar wanamakosa mengi kama hayo kiasi kwamba kuna mtu mmoja alinishangaa nilipomrekebisha yaan mtu anakosea mpaka anaona yuko sawa na anaona ni kawaida kama wewe unavyojaribu kutetea makosa.
Na wengi wanaofanya makosa kama hayo hua wanashindwa sehemu ya neno ambako kuna a,e,I,o,u
Mfano.
1.Hanakuja badala ya anakuja
2.hendelea badala ya endelea
3.hingekuaje badala ya ingekuaje
4.hokolewa badala ya okolewa
5.hulimbukeni badala ya ulimbukeni
Makosa mengine ambayo watu hao ambao wanaofkiria kujua kiswahili ni kuongea saaana mara nyingi ukiwaambia waandike statement ya wanavyoviongea mara nyingi hua hivi.
Mfano: leho nilihenda ospitari kumsalimiha mjomba wangu halikua hanaumwa hugonjwa wa hajabu sana kwa kweli himenishtuwa sana sikutegemeha kuwa mjomba angeliha mpaka machozi, siunajuwa wanaume huvumilivu.
Tujitaidi kujifunza kiswahili tunu yetu