Msomi Mbobevu ACCA Ahobokile Mwaitenda ajiuzulu Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chadema baada ya Mbowe kuchukua Fomu ya Kugombea uenyekiti!

Msomi Mbobevu ACCA Ahobokile Mwaitenda ajiuzulu Ujumbe wa Kamati Kuu ya Chadema baada ya Mbowe kuchukua Fomu ya Kugombea uenyekiti!

Wewe kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo hakuna namna utafanya kubadili upepo labda uombe msaada wa mods wafute hizi toilet paper zako ulizoweka humu tangu 2022.

Tueleze lini Mbowe ulimtoa kwenye list ya matapeli hadi kumuita mwamba wa siasa za upinzani. View attachment 3182473
Harudi huyo akirudi nitag.
 
Haya Ya Kawaida
Mwakani Ndani Ya CCM Issue Ya Fomu Nasema Itakuwa Kitimtim
Kimbunga Hidaya Kitaivuruga Mno Wapo Wanaotaka Fomu Ziwe Nyingi
CCM ni 2030 bwashee

Huyo Mbowe wenu kavutwa Ili kupunguza Kasi ya First lady Wawili wa Kijitonyama Kwaya 😂

Sidhani kama utaelewa 🐼
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
Wanakimbilia wapi sasa? Mbona mapema sana 😂!! Wanalikimbia boksi la kura sio 😂
 
Safari njema huko aendako.....kwenye MAPAMBANO wenye roho za kikekike watakimbia NO REFORM NO ELECTION
Haha hawa watu wanachekesha sana!! Walitaka Mbowe ampe uenyekiti Lissu kwenye sahani badala ya kushindana kidemokrasia?? Kumbe ndo maana Lissu alikuja kishari namna ile ili Mbowe ateme bungo?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
Ni haki yake ya kudemokrasia kuingia Chadema na kutoka na kyamua kujiunga na chams chechote au kuamua kutokuwa na chama sio big issue

Aende zake mwana kwenda asibabaishe mtu

Nimpongeze kutumia haki yake ya kidemokrasia kuondoka

Hsyo msmbo ya ACCA mbobezi ni mbwembwe tu za mitaani
Kashampunguzia Lissu kura huyu mwanaharakati uchwara!!
 
Wewe kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo hakuna namna utafanya kubadili upepo labda uombe msaada wa mods wafute hizi toilet paper zako ulizoweka humu tangu 2022.

Tueleze lini Mbowe ulimtoa kwenye list ya matapeli hadi kumuita mwamba wa siasa za upinzani. View attachment 3182473
Na namba yake ipo hapo chini 0742676627
 
Haya Ya Kawaida
Mwakani Ndani Ya CCM Issue Ya Fomu Nasema Itakuwa Kitimtim
Kimbunga Hidaya Kitaivuruga Mno Wapo Wanaotaka Fomu Ziwe Nyingi
Endelea kuota.Angalizo usinyee tu.
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
..waliondoka kina Lowasa na kina mashinji na Chadema bado ipo, hata wewe unayeandika huu ujinga unaelewa unachoandika au ni vuvuzela tu..
 
..waliondoka kina Lowasa na kina mashinji na Chadema bado ipo, hata wewe unayeandika huu ujinga unaelewa unachoandika au ni vuvuzela tu..
Makasiriko 😂😂🐼🐼

Lowasa aliwahi hata kuingia office za ufipa? 🐼
 
Mi nafikiri kaonesha utoto maana kampunguzia kipenzi chake kura moja tayari.
Uko sahihi hiyo ACCA hajuii hesabu hata za kujumlisha na kutoa tu kuwa akijitoa anapunguza kura

Kichwaji kwake mweupe kabisa ni aibu kwenye ACCA au CPA mliomo humu mnsomuunga mkono kujitoa kwake mna vyeti feki wote vya ACCA na CPA mamlaka husika zihakiki hivyo vyeti vyao ikiwemo cha huyu aliyejitoa.uhalali wa cheti cheti chake
 
Uko sahihi hiyo ACCA hajuii hesabu hata za kujumlisha na kutoa tu kuwa akijitoa anapunguza kura

Kichwaji kwake mweupe kabisa ni aibu kwenye ACCA au CPA mliomo humu mnsomuunga mkono kujitoa kwake mna vyeti feki wote vya ACCA na CPA mamlaka husika zihakiki hivyo vyeti vyao ikiwemo cha huyu aliyejitoa.uhalali wa cheti cheti chake
Hawa watu wana kichaa!!
 
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema

Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema

Taarifa imetolewa Ukurasani X

Kwako Mh Lucas Mwashambwa 😄
It doesn't matter. Ina maana yeye anapigania demokrasia na wakati huo huo haamini au hafurahishwi na kufuata misingi ya kidemokrasia ambayo inaelekeza viongozi wachaguliwe kwa kura, na anayeshinda kihalali (katika mchakato huru na wa haki) kwa wingi wa kura ndiye mshindi.
 
Back
Top Bottom