Harudi huyo akirudi nitag.Wewe kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo hakuna namna utafanya kubadili upepo labda uombe msaada wa mods wafute hizi toilet paper zako ulizoweka humu tangu 2022.
Tueleze lini Mbowe ulimtoa kwenye list ya matapeli hadi kumuita mwamba wa siasa za upinzani. View attachment 3182473
CCM ni 2030 bwasheeHaya Ya Kawaida
Mwakani Ndani Ya CCM Issue Ya Fomu Nasema Itakuwa Kitimtim
Kimbunga Hidaya Kitaivuruga Mno Wapo Wanaotaka Fomu Ziwe Nyingi
Wanakimbilia wapi sasa? Mbona mapema sana π!! Wanalikimbia boksi la kura sio πMjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema
Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema
Taarifa imetolewa Ukurasani X
Kwako Mh Lucas Mwashambwa π
Mnapambania nini mtalaamu?Safari njema huko aendako.....kwenye MAPAMBANO wenye roho za kikekike watakimbia NO REFORM NO ELECTION
Haha hawa watu wanachekesha sana!! Walitaka Mbowe ampe uenyekiti Lissu kwenye sahani badala ya kushindana kidemokrasia?? Kumbe ndo maana Lissu alikuja kishari namna ile ili Mbowe ateme bungo?Safari njema huko aendako.....kwenye MAPAMBANO wenye roho za kikekike watakimbia NO REFORM NO ELECTION
Kashampunguzia Lissu kura huyu mwanaharakati uchwara!!Ni haki yake ya kudemokrasia kuingia Chadema na kutoka na kyamua kujiunga na chams chechote au kuamua kutokuwa na chama sio big issue
Aende zake mwana kwenda asibabaishe mtu
Nimpongeze kutumia haki yake ya kidemokrasia kuondoka
Hsyo msmbo ya ACCA mbobezi ni mbwembwe tu za mitaani
Na namba yake ipo hapo chini 0742676627Wewe kunguni wa mama Abduli risiti zako tunazo hakuna namna utafanya kubadili upepo labda uombe msaada wa mods wafute hizi toilet paper zako ulizoweka humu tangu 2022.
Tueleze lini Mbowe ulimtoa kwenye list ya matapeli hadi kumuita mwamba wa siasa za upinzani. View attachment 3182473
Endelea kuota.Angalizo usinyee tu.Haya Ya Kawaida
Mwakani Ndani Ya CCM Issue Ya Fomu Nasema Itakuwa Kitimtim
Kimbunga Hidaya Kitaivuruga Mno Wapo Wanaotaka Fomu Ziwe Nyingi
Mi nafikiri kaonesha utoto maana kampunguzia kipenzi chake kura moja tayari.Hongera CPA mwenzangu. CPA hatuwezi kushikiwa akili
..waliondoka kina Lowasa na kina mashinji na Chadema bado ipo, hata wewe unayeandika huu ujinga unaelewa unachoandika au ni vuvuzela tu..Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema
Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema
Taarifa imetolewa Ukurasani X
Kwako Mh Lucas Mwashambwa π
Makasiriko πππΌπΌ..waliondoka kina Lowasa na kina mashinji na Chadema bado ipo, hata wewe unayeandika huu ujinga unaelewa unachoandika au ni vuvuzela tu..
Uko sahihi hiyo ACCA hajuii hesabu hata za kujumlisha na kutoa tu kuwa akijitoa anapunguza kuraMi nafikiri kaonesha utoto maana kampunguzia kipenzi chake kura moja tayari.
Halafu ni CPA pia πππππACCAπ³π³
Hawa watu wana kichaa!!Uko sahihi hiyo ACCA hajuii hesabu hata za kujumlisha na kutoa tu kuwa akijitoa anapunguza kura
Kichwaji kwake mweupe kabisa ni aibu kwenye ACCA au CPA mliomo humu mnsomuunga mkono kujitoa kwake mna vyeti feki wote vya ACCA na CPA mamlaka husika zihakiki hivyo vyeti vyao ikiwemo cha huyu aliyejitoa.uhalali wa cheti cheti chake
Tena cha mbwaHawa watu wana kichaa!!
It doesn't matter. Ina maana yeye anapigania demokrasia na wakati huo huo haamini au hafurahishwi na kufuata misingi ya kidemokrasia ambayo inaelekeza viongozi wachaguliwe kwa kura, na anayeshinda kihalali (katika mchakato huru na wa haki) kwa wingi wa kura ndiye mshindi.Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema msomi aliyetukuka kwenye maswala ya Fedha na Uhasibu ACCA Ahobokile Mwaitenda ( mheshimiwa) ametangaza Kujiuzulu nafasi ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema
Mh Mwaitenda amefikia uamuzi huo baada ya Mwenyekiti wa sasa kutangaza Kugombea uenyekiti wa Chadema
Taarifa imetolewa Ukurasani X
Kwako Mh Lucas Mwashambwa π
Baada ya mwaka mzima 2023 kuona amepuuzwa mwaka huu ameona bora aache kuweka namba zake .Na namba yake ipo hapo chini 0742676627