Msomi wa degree mbili kagongwa na gari hii inawezekanaje ?

Msomi wa degree mbili kagongwa na gari hii inawezekanaje ?

kajamaa kadogo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2018
Posts
2,707
Reaction score
6,437
Huu uzito wa ukoloni sijuhi ulikuwa ni mzito kiasi gani mpaka kufanya mswahili kuchukua kabisa lugha yake nzuri ya kiswahili.

MADA

Jana nilipokea taarifa za kusikitisha sana ambazo zilinipa sonona taarifa ambazo ni mbaya, msomi tena wa degree mbili amegongwa na gari na kufariki papo hapo binafsi nimejiuliza sana hii inawezekana vipi ? tena kwa msomi wa degree mbili .

Pablo
 
Moderator naomba kichwa cha uzi kitoe taarifa msomi baada ya kugongwa alifariki pia swali langu liwepo la kuhoji inawezekana vipi msomi degree agongwe na gari mpaka kufa
 
Back
Top Bottom